AJALI YAB MALORI JANA YAGONGANA NA KUZIBA NJIA ENEO LA WAMI,
Malori yaliyogongana yakiwa yameziba njia baada ya kugongana eneo la mto wami
Foleni ni kubwa sana ya mabasi yaendayo mikoa ya Tanga,Arusha Na Kilimanjaro
Ajali
mbaya imetokea mda huu eneo la mto wami na kusababisha Foleni kubwa
sana kwa magari na mabasi yanayotumia njia hiyo,Chanzo cha ajali hiyo inadaiwa ni
kufeli breki kwa malori hayo yakiwa yanateremka kwenye mlima huo.Polisi
wanaendelea na jitihada za za kuyatoa ili njia ipatikane kwa ukubwa
zaidi ili kuruhusu upitaji mzuri wa magari.
No comments:
Post a Comment