TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, December 24, 2012

CHAGGA DAY- 2012 KIBURUDISHO MURUA KWA WATOTO.

 Watoto wakikwea mlima wa maputo
 Watoto wakiruka ruka
 Watoto wakiteleza juu ya puto



 Moja ya kivutio wakati wa Tamasha la Chagga Day 2012-Moshi, ni michoro kwa watoto

 Wazazi wakicheza na watoto katika maeneo ya vifaa vya michezo ndani ya ukumbi wa Zumb Land.
 Wazazi wakicheza na watoto katika maeneo ya vifaa vya michezo ndani ya ukumbi wa Zumb Land.
 Watoto wakisafiri na Treni ya Umeme ya watoto iliyopo Zumba Land Mjini Moshi -Kilimanjaro..
 Watoto wakisafiri na Treni ya Umeme ya watoto iliyopo Zumba Land Mjini Moshi -Kilimanjaro..
 Watoto wakisafiri na Treni ya Umeme ya watoto iliyopo Zumba Land Mjini Moshi -Kilimanjaro..
 Bendi ya Msondo, Ikitumbuiza wakati wa Tamasha la Vyakula vya Asili vya Kabila la Kichaga lililofanyika Hivi karibuni katika Viwanja vya LEADERS kinondoni Dar es Salaam.
 Kutana na DJ, Maarufu katika mji wa Moshi, DJ OKQ
 Kivutio kimojawapo katika Ukumbi wa Zumba Land, ni pamoja na Sanamu ya Mamba
 Kivutio kimojawapo katika Ukumbi wa Zumba Land, ni pamoja na Sanamu ya Mamba
 Waandaaji wa Tamasha la Vyakula vya ASILI vya Makabila Mbalimbali hapa nchini, Paul Siboka na Mama Siboka wa kwanza kulia, wakiwa katika Picha ya Pamoja wakati wa harakati za maandalizi ya Matamasha hayo, ambayo sasa yanafanyika katika sehemu mbalimbali hapa nchini.
 Mkurugenzi wa My Way Entertainment, Paul Siboka akifafanua jambo kuhusu Tamasha la Nchi nzima la Vyakula vya asili vya makabila mbalimbali hapa nchini.
 Mkurugenzi wa My Way Entertainment, Paul Siboka akifafanua jambo kuhusu Tamasha la Nchi nzima la Vyakula vya asili vya makabila mbalimbali hapa nchini(Kulia ni Mkurugenzi mwenza, Rose Siboka.

No comments:

Post a Comment