TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 26, 2012

SHEREHE YA UZINDUZI WA SACCOS YA TUJIPE MOYO ZANZIBAR KATIKA PICHA

Mwenyekiti wa  SACCOS ya Tujipe Moyo Safia Maulid Haji (wapili kulia) akiwa na muakilishi wa jimbo la magomeni Salmin Awadhi Salmin wa kwanza kulia pamoja na mgeni rasmin wakisikiliza utenzi uliosomwa na Amina Mkombe hajupo pichani katika ufunguzi wa SACCOS  hiyo huko katika ukumbi wa Baraza la wawakilishi la zamani.
Mwenyekiti wa SACCOS ya Tujipe Moyo Safia Maulid Haji akiwasalimia wana SACCOS pamoja na kumkaribisha mgeni rasmini hawapo pichani huko katika ukumbi wa baraza la wawakilishi la zamani.
 
Katibu Mkuu Wizara ya kazi uwezeshaji wananchi kiuchumi na ushirika Bi Asha Ali Abdallah ambae ni mgeni rasmini akiwahutubia wanachama wa SACCOS hiyo ya wadi ya nyerere Jimbo la magomeni Mjini Unguja wanapo kopa mikopo wahakikishe kurejesha ili na wana chama wengine wapate kukopa  mikopo hiyo.
 
Katibu Mkuu Wizara ya kazi uwezeshaji wananchi kiuchumi na ushirika Bi Asha Ali Abdallah wanne kutoka kushoto akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa SACCOS huko katika ukumbi wa baraza la wawakilishi la zamani.
PICHA NA MAKAME MSHENGA – MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment