TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, December 27, 2012

Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar waonana na Rais

 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Zanzibar,Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mwenyekiti wa
Tume ya Uchaguzi Zanzibar,(ZEC) Khatib Mwinyichande,akiongoza ujumbe
wa Tume hiyo walipofika Ikulu Mjini Zanzibar,Kumuaga Rais kwa kumaliza
muda wa kazi wa Tume hiyo jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Zanzibar,Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea Ripoti ya Tume ya Uchaguzi
Zanzibar,(ZEC) kutoka kwa Mwenyekiti wake Khatib
Mwinyichande,alipoongoza ujumbe wa Tume hiyo walipofika Ikulu Mjini
Zanzibar,Kumuaga Rais kwa kumaliza muda wa kazi wa Tume hiyo
jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment