TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 26, 2012

KALUNDE BAND ILIVYOTIKISA WAKATI WA SIKUKUU YA KRISMASS GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL

 
Mwimbaji wa Kalunde Band Mwapwani Yahaya akiimba katika onesho la bendi hiyo lililofanyika kwenye hoteli ya Giraffe, Ocean View Afrikana jijini Dar es salaam ikiwa ni ikiwa ni kusherehekea sikukuu ya Krismass, wageni mbalimbali walihudhura katika onesho hilo, baada ya lile la Rainbow lililofanyika katika mkesha wa Krismass.
 
Mwimbaji wa bendi hiyo Devotha Nyalusi akiimba katika onesho hilo kwenye hoteli ya Giraffe Ocean View.
Kutoka kulia ni waimbaji wa Kalunde band Remmy, Amina na Devotha wakiimba katika onesho hilo.
 
Mpiga gitaa la solo wa bendi ya Kalunde Bonny Kamprobo akicharaza gitaa hilo huku waimbaji, Amina Kulia na Devotha wakiimba jukwaani.
 
Kundi zima la Kalunde Band likiongozwa na Mkurugenzi Deo Mwanambilimbi wa pili kutoka kushoto wakiimba katika onesho hilo.

No comments:

Post a Comment