Bango lililoonyesha maandalizi ya mkutano utakaofanyika Machi 19-20 mwaka huu huko Arusha
Viongozi
wa Tanzania Green Building Council wakijadiliana jambo kwenye mkutano
na waandishi wa habari kulitambulisha baraza hilo la kitaalamu ambalo
Shirika la Nyumba la Taifa ni mmoja wa waasisi wake kwa waandishi wa
Habari.
Viongozi
wa Tanzania Green Building Council wakijadiliana jambo kwenye mkutano
na waandishi wa habari kulitambulisha baraza hilo la kitaalamu ambalo
Shirika la Nyumba la Taifa ni mmoja wa waasisi wake kwa waandishi wa
Habari.
Ipyana
Moses Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Green Building Council
akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kulitambulisha baraza
hilo la kitaalamu ambalo Shirika la Nyumba la Taifa ni mmoja wa waasisi
wake kwa waandishi wa Habari kulia kwake ni Makamu wa Rais wa Baraza
hilo, Farizan d’Avezac de MoranRais wa Baraza la Ujenzi Endelevu na
Mazingira Tanzania (Tanzania Green Building Council ), Rais wa Baraza la
Ujenzi Endelevu na Mazingira Tanzania (Tanzania Green Building Council )
Ngwisa Mpembe na Mike T’chawi wa Chama cha Wasanifu Majengo.
No comments:
Post a Comment