Kamishna
Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja(meza kuu) akiongoza
mazungumzo rasmi yaliyofanyika Ofsini kwake leo februari 20, 2015 kati
ya Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza na Wasimamizi Wakuu wa Mradi
wa “AIDS – free” utakaotekelezwa ndani ya Jeshi la Magereza(Picha zote
na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
No comments:
Post a Comment