TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, February 19, 2015

MAREKANI KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUDHIBITI UINGIZAJI WA BIDHAA HARAMU NCHINI

kaw1Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (wapili kulia) akimsikiliza kwa makini Afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama ya nchini Marekani, Emmanuel Nwankwo (wapili kushoto) katika mkutano wao uliofanyika jijini Washington DC katika Ukumbi wa Mkutano wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Katika mazungumzo yao maafisa hao wa Marekani wanatarajia kutua nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa maafisa Uhamiaji, Polisi na Maafisa Forodha ya kushirikiana kwa Serikali hizo mbili kwa ajili ya kudhibiti mipaka kwa kuzuia bidhaa haramu zikwemo silaha, dawa za kulevya pamoja na bidhaa mbalimbali za hatari kwa maendeleo ya nchi ambazo zinaweza kuingizwa nchini kutoka kwenye nchi mbalimbali duniani. Waziri Chikawe yupo nchini humo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani hata hivyo alipata muda wa kuzungumza na maafisa hao baada ya kumuomba kukutana naye. Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
kaw2Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (wapili kulia) akiwafafanulia jambo maafisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama ya nchini Marekani katika mkutano wao uliofanyika jijini Washington DC katika Ukumbi wa Mkutano wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Katika mazungumzo yao maafisa hao wa Marekani wanatarajia kutua nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa maafisa Uhamiaji, Polisi na Maafisa Forodha ya kushirikiana kwa Serikali hizo mbili kwa ajili ya kudhibiti mipaka kwa kuzuia bidhaa haramu zikwemo silaha, dawa za kulevya pamoja na bidhaa mbalimbali za hatari kwa maendeleo ya nchi ambazo zinaweza kuingizwa nchini kutoka kwenye nchi mbalimbali duniani. Waziri Chikawe yupo nchini humo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani hata hivyo alipata muda wa kuzungumza na maafisa hao baada ya kuomba kukutana naye. Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

kaw3 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (wanne kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula (watatu kushoto), na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, jijini New York, nchini Marekani, Tuvako Manongi wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani pamoja na Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama ya nchini Marekani. Waziri Chikawe alikutana na Maafisa hao wa Marekani, jijini Washington DC kujadiliana masuala mbalimbali likiwemo la Maafisa hao wakitarajia kuja nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa maafisa Uhamiaji, Polisi na Maafisa Forodha ya kushirikiana kwa Serikali hizo mbili kwa ajili ya kudhibiti mipaka kwa kuzuia bidhaa haramu zikwemo silaha, dawa za kulevya pamoja na bidhaa mbalimbali za hatari kwa maendeleo ya nchi ambazo zinaweza kuingizwa nchini kutoka kwenye nchi mbalimbali duniani. Waziri Chikawe yupo jijini Washington DC katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani, hata hivyo alipata muda wa kuzungumza na maafisa hao baada ya kuomba kukutana naye. Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula. Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

No comments:

Post a Comment