TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, February 16, 2015

Zoezi la uandikishaji vijana kuingia NSSF Real Madrid Sports Academy lapamba moto

Baadhi ya wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy wakijaza na kuwasilisha fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy wakijaza na kuwasilisha fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam.
Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendeleajijini Dar es Salaam katika viwanja vya Karume. Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendeleajijini Dar es Salaam katika viwanja vya Karume.Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendelea jijini Dar es Salaam leo katika viwanja vya Karume. Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendelea jijini Dar es Salaam leo katika viwanja vya Karume.Mmoja wa wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy pamoja na mwanae wakijaza fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam. 
Mmoja wa wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy pamoja na mwanae wakijaza fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam .


Baadhi ya wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy wakijaza na kuwasilisha fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy wakijaza na kuwasilisha fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy wakijaza na kuwasilisha fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy wakijaza na kuwasilisha fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy wakijaza na kuwasilisha fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy wakijaza na kuwasilisha fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam.Moja ya banda linaohusika kusajili kushiriki katika zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy wakiendelea jijini Dar es Salaam leo katika viwanja vya Karume. Moja ya banda linaohusika kusajili kushiriki katika zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy wakiendelea jijini Dar es Salaam leo katika viwanja vya Karume.Baadhi ya watu waliojitokeza kushiriki katika zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy wakiendelea jijini Dar es Salaam leo katika viwanja vya Karume. Baadhi ya watu waliojitokeza kushiriki katika zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy wakiendelea jijini Dar es Salaam leo katika viwanja vya Karume.

 Na Mwandishi Wetu  

SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kushirikiana na klabu maarufu duniani ya mpira wa miguu ya Real Madrid ya Hispania, leo imeendelea na zoezi lake la usajili wa vijana walio na umri wa chini ya miaka 14 watakaofanyiwa majaribio kwa ajili ya kujiunga na kituo cha michezo cha NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY katika uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam, huku idadi ya vijana wanaojisajili ikiongezeka. 

 Mchakato huo wa usajili ulianza Oktoba 14 lakini leo idadi ya vijana wanaojitokeza ikiongezeka kwa kasi ambapo jumla ya vijana 257 wamejitokeza kuandikiswa katika viwanja vya karume jijini Dar es Salaam. Akizungumzia zoezi hilo kwa wanahabari katika viwanja vya Karume, Kaimu Meneja Kiongozi wa Idara ya Uhusiano na Huduma kwa Wateja, Salim Khalfan Kimaro wa NSSF, alisema uandikishaji wa vijana katika zoezi hilo leo umeongezeka kutokana na idadi kubwa kujitokeza kuandikishwa. 

Akitoa ufafanuzi zaidi Kimaro alisema watoto walengwa ni wale waliozaliwa kuanzia Januari, 2001 hadi Disemba, 2003 na ili mtoto aandikishwe anatakiwa kuambatana na mzazi wake au mlezi anayetambulika kisheria na aje na nyaraka za uthibitisho wake kuwa ni mlezi halali kwa kuonesha vithibitisho vya kisheria. 

 “…Kwa mtoto husika, aje na cheti halisi cha kuzaliwa na kopi yake pamoja na picha ndogo (passport size) zenye rangi ya bluu. Zoezi hili litaendelea tena wiki ijayo tarehe 21 na 22 Februari ambapo baada ya hapo michezo ya majaribio itaanza wiki zinazofuatia,” alisema Khalfan Kimaro. 

Aidha aliongeza kuwa watoto 30 watakao fuzu kuingia katika kituo cha mafunzo wataandaliwa mazingira kuhakikisha wanaendelea kupata elimu bila kikwazo chochote. Alisema Shirika la NSSF linatoa wito kwa wazazi na walezi kujitokeza kuwaleta watoto wao kujiandikisha ili kuendeleza vipaji vyao kwa fursa iliyotolewa.

No comments:

Post a Comment