TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, December 23, 2014

NAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MAHMOUD THABIT KOMBO AFANYA ZIARA KATIKA VITUO VYA AFYA MKOA WA KASKAZINI ”A” UNGUJA.

unnamedMkuu wa kituo cha Afya cha Mkokotoni Mcha Haji Makame akitoa taarifa kwa Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (alievaa miwani) alipofanya ziara ya kutembelea vituo vya afya vya Wilaya Kaskazini A. Wa kwanza (kushoto) mwakilishi wa WHO Zanzibar Dkt. Andymicheel Ghirmany akifuatiwa na mwakilishi wa UNICEF Zanzibar  Bibi Fransisca. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. unnamed1Mkuu wa kituo cha Afya Mkokotoni akiwaonyesha  wawakilishi wa UNICEF Bibi Fransisca na mwenzake wa WHO Ghirmany  jiko la kuchoma takataka za Hospitali hiyo. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. unnamed2Wawakilishi wa UNICEF na WHO  wakiangalia takwimu za wagonjwa waliopata matibabu  katika Hospitali kuu ya Wilaya  kwa kipindi cha miezi 11 kunzia Januari  walipofanya ziara na Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo Wilaya ya Kaskazini A Unguja. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. unnamed3Daktari dhamana wa Hospitali ya Kivunge  Khamis Hamad akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo na ujumbe aliofuatana nao  walipofanya ziara kuangalia utendaji wa kazi na kujitambulisha. unnamed4Baadhi ya wafanyakazi wa kituo cha afya cha Chaani  wakimsikiliza Mwakilishi mkaazi wa WHO Zanzibar  wakati wa ziara ya Naibu Waziri kutembelea vituo hivyo.Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment