TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, December 26, 2014

Sudan yawatimua maafisa wa UN

Mshirikishi mkuu wa utoaji msaada Ali Al-Zatariv
Umoja wa mataifa unasema kuwa Sudan imewafukuza maafisa wake wawili wakuu kutoka nchini humo.
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa, Ban Ki-moon, amelishutumu taifa hilo kwa kumfurusha mshirikishi mkuu wa utoaji msaada Ali Al-Zatari, na mkurugenzi mkuu wa mpango wa maendeleo wa Umoja wa mataifa Nchini humo Yvonne Helle.
Haijafahamika ni kwa nini wawili hao wamefurushwa.
Uhusiano kati ya Umoja wa mataifa na serikali ya Sudan umekuwa m'baya tangu walinda amani wa umoja wa Afrika kuchunguza ripoti ya ubakaji ulioendeshwa na wanajeshi wa taifa hilo katika eneo la Darfur mwezi uliopita.

No comments:

Post a Comment