TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, December 25, 2014

usajili wa Messi mtihani kwa Chelsea

Lionel Messi na furaha ya ushindi
Kocha wa Timu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kwa sasa hawana nafasi ya kumsaini mchezaji Lionel Messi kwa kuwa hakuna Fedha ya kutosha kumsajili mchezaji huyo .
Mourinho amesisitiza kuwa hawana uwezo wa kuvunja rekodi ya kumsajili mshindi huyo wa Ballon d'Or Messi, ambaye anahitaji ofa ya pauni milioni 205 kutolewa kutoka klabu ya Barcelona, na kwenda Stamford Bridge katika siku za hivi karibuni .
Mwezi Novemba Messi aligusia kwa mara ya kwanza kuwa angependa siku moja andoke Barcelona, na kwa upande wake mchezaji Cesc Fabregas alisikika akisema anatamani apate nafasi ya kucheza sambamba na Nyota huyo wa Argentina kwa mara nyingine tena.

No comments:

Post a Comment