Kiwanja
kipya cha maraha Uefa Goo Night Club kinatarajiwa kuzinduliwa mkesha wa
sikukuu ya Krismas jijini Dar es salaam Kiwanja hiki ni cha Kisasa kiko
maeneo ya Ukonga Mombasa Barabara ya kuelekea Moshi Baa Karibu na njia
panda ya Mahita mita 200 kutoka barabara kuu iendayo Pugu, siku ya
mkesha wa Krismas burudani kibao zimeandaliwa na kiwanja hicho kiko
katika hatua za mwisho mwisho kukamilisha kila kitu ili kuwapa burudani
wateja wake ikiwa ni pamoja na Ligi mbalimbali za ulaya, muziki wa
kisasa kama vile Bongofleva na muziki wa zamani na vyakula mbalimbali
vitapatikanaTAN
Bayport
Kikoa
Myway entertainment
FORE PLAN CLINIC
MPINGA CUP 2016
Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Sunday, December 21, 2014
UEFA GOO NIGHT CLUB KUZINDULIWA MKESHA WA KRISMAS
Kiwanja
kipya cha maraha Uefa Goo Night Club kinatarajiwa kuzinduliwa mkesha wa
sikukuu ya Krismas jijini Dar es salaam Kiwanja hiki ni cha Kisasa kiko
maeneo ya Ukonga Mombasa Barabara ya kuelekea Moshi Baa Karibu na njia
panda ya Mahita mita 200 kutoka barabara kuu iendayo Pugu, siku ya
mkesha wa Krismas burudani kibao zimeandaliwa na kiwanja hicho kiko
katika hatua za mwisho mwisho kukamilisha kila kitu ili kuwapa burudani
wateja wake ikiwa ni pamoja na Ligi mbalimbali za ulaya, muziki wa
kisasa kama vile Bongofleva na muziki wa zamani na vyakula mbalimbali
vitapatikana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment