Watoto wa mmoja wa marehemu wakiaga mwili wa baba yao huku wakilia kwa uchungu.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Mwigulu Nchemba na mgombea ubunge wa jimbo hilo Godfrey Mgimwa wakishiriki mazishi hayo.
Umati wa waombolezaji ukiwa makaburiki ukishiriki katika mazishi hayo.
Umati wa waombolezaji ukiwa makaburiki ukishiriki katika mazishi hayo.
Mazishi ya miili hiyo yakiendelea.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Mwigulu Nchemba na mgombea ubunge wa jimbo
hilo Godfrey Mgimwa wakiondoka mara baada ya mazishi hayo
Kiongozi wa Chama cha Chadema akizungumza katika mazishi hayo ambapo Chama hicho kimetoa ubani wa shilingi elfu hamsini.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Mwigulu Nchemba akizunguza katika mazishi
hayo ambapo Chama cha Mapinduzi kilitoa ubani wa shilingi milioni moja
taslimu kulia ni mgombea ubunge wa jimbo hilo Godfrey Mgimwa
Hili ndilo gari lililosababisha vifo vya vijana hao.
No comments:
Post a Comment