TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, January 28, 2014

HUU NDO UKWELI KUHUSU PICHA YA DAVIDO NA MSICHANA ANAYESEMEKANI NI MBONGO WAIWA KITANDANI.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgy5sE8aU2Mpp5M64eIFLjfNGTwTB_Kg2w0OQNkopAoSs65PUI4qkDZMjGmpevD6iinUb1Cmntzx5x7Nm5NCT14HuU0-anX6eocnlEB5PlHQ6qV8vefNdetYp3r_KzKrk8nCQnJZk8Z658G/s1600/IMG_0115.JPGWiki hii yote kumekuepo na picha iliyosambaa mtandaoni ikimwonyesha msanii Davido akiwa kitandani na msichana anayesemekana ni mbongo. Ki ukweli mimi kama admin wa Bongoclan nimeiona katika Blog nyingi sana siwezi zikumbuka zote.
Baada ya kuiona picha hiyo nlijiuliza maswali mengi sana moja ni kujua kama kweli mdada huyo ni mbongo au watu wanazusha tu, hiki ndo kilichoandikwa katika moja ya blog zilizoandika story hiyo. "Msanii maarufu wa muziki wakizazi kipya ajulikane kwajina la davido tika nchini Nigeria anaetamba na kibao chake cha SKELEWU,hivi ndivyo alivyo pigwa picha na mwana dada huyu anaedaiwa kuwa mwigizajiwa bongo wakiwa katika pozi la mahaba alivyokuja Bongo."
 

Katika uchunguzi uliofanya na Bongoclantz.com umebaini kua story hiyo ni feki, na wala mdada yule si mbongo kama watu walivyozusha.  Ukweli kuhusu story hiyo ni kua mdada huyo ni raia wa Nigeria na story hii ilikua ni ya mwaka jana mwezi wa tatu. Unaweza soma baadhi ya story hizo kwa kubonyeza link zifuatazo LINK1, LINK2, LINK3 kama utazisoma vizuri na kutazama tarehe za story hizo utagundua kua story zote hizo ni za mwaka jana mwezi wa tatu.
Davido alivyotafutwa hiyo mwaka jana baada ya picha hizo kusambaa mtandaoni alisema kua hamjui na wala hajawahi kumwona mwanamke huyo na anashindwa kuelewa ilikuaje hadi akaingia katika chumba chake na jinsi picha hiyo ilivyosambaa. 
Skendo hii ya kusambaa kwa picha za Davido akiwa na mwanamke kitandani na picha kusambaa mtandaoni si ya mara ya kwanza kwani kuna mdada mwingine alishapiga picha na kuzisambaza mtandaoni. Picha hizo zilimwonyesha mdada huyo akiwa na Davido kitandani

No comments:

Post a Comment