WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WA SENSA YA VIWANDA.
Mkuu wa chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika kilichopo eneo la
Changanyikeni jijini Dar es salaam Prof.Ngalinda Innocent akizungumza na
wadadisi watakaokusanya takwimu za Sensa ya Viwanda mwezi huu wakati wa
ufunguzi wa mafunzo ya siku 14.
Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Maria Bilia akizungumza wakati wa
uzinduzi wa mafunzo ya wadadisi 200 wa Sensa ya Viwanda itayofanyika nchi
nzima mwezi huu. Mafunzo hayo yanafanyika chuo cha Takwimu Mashariki mwa
Afrika kilichopo eneo la Changanyikeni jijini Dar es salaam.
MWISHO.
No comments:
Post a Comment