Waziri
wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amekamilisha
rasmi ziara yake katika mkoa wa Tabora. Waziri Muhongo alifanya ziara
katika mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Tabora lengo likiwa ni kukagua
miradi ya umeme vijijini pamoja na kuzungumza na wananchi
Waziri
wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akitoa
maelekezo kwa uongozi wa kijiji cha Tura wilayani Uyui mkoani Tabora
kuhakikisha umefanya mkutano na wananchi ili kufanya makubaliano jinsi
ya kusimamia mradi wa umeme wa kontena ili wananchi waanze kunufaika
mara moja.
TAN

Bayport

Kikoa

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Friday, January 16, 2015
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA TABORA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment