Upendo Kilahiro naye akafanya mabo makubwa mbele ya mashabiki wake wa muziki wa injili kama anavyoonekana jukwaani akiimba.
Mashabiki walishindwa kukaa chini wakati wote wa tamasha.
Mwimbaji Joshua Mlelwa akikonga nyoyo za mashabiki wake kwa uchezaji wake jukwaani.
Mwimbaji Joshua Mlelwa akikonga nyoyo za mashabiki wake kwa uchezaji wake jukwaani.
Mashabiki wakipata taswira kwa simu zao huku burudani ikiendelea.
Mwimbaji Emmanuel Mgogo naye amefanya mambo makubwa sana katika tamasha hilo.
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akizungumza na mashabiki wa muziki wa injili.
Mwimbaji Joshua Mlelwa
akikonga nyoyo za mashabiki wake kwa uchezaji wake na wacheza shoo
wake huyu amekuwa pia akifanya maonesho kama haya Ulaya na Marekani .. 
Edson Mwasabwite kulia ni Faraja Ntaboba kutoka DRC Congo wakionyesha vitu vikubwa kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Mwimbaji
kutoka Kenya Ritha Kisava ambaye ameshiriki Tamasha la Krismas kwa mara
ya kwanza akiimba hii ilikuwa kama utabulisho wake kwa mashabiki wa
muziki wa Injili nchini Tanzania.
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akiteta jambo na mmoja wa waratibu wa tamasha la Krismas Bw. John Melele wakati wa tamasha hilo.
No comments:
Post a Comment