TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, December 3, 2013

HOYCE TEMU ALAMBA NONDOZZZ YA SHAHADA YA UZAMILI WA MAWASILIANO YA UMMA ST. AUGUSTINE UNIVERSITY

Picture 019 
Aliyekuwa Miss Tanzania 1999, ambaye pia ni Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania , Hoyce Temu akipozi mara baada ya kulamba Nondozzz ya shahada ya Uzamili wa Mawasiliano ya Umma katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine jijini Mwanza.
Picture 018 
Hoyce Temu akipata Ukodak na Mdau wa tasnia ya habari nchini.
Picture 013 
Hoyce Temu katika pozi na marafiki zake mara baada ya kulamba Nondozz.
Picture 026 
Pongezi pia ziende kwa Dada Lulu Musa Afisa Uhusiano wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira kwa kulamba Nondozz ya shahada ya Uzamili wa Mawasiliano ya Umma katika chuo cha St. Augustine University kwenye mahafali ya 15 ya chuo hicho yaliyofanyika jijini Mwanza mwishoni mwa Juma.
Picture 045 
Mbali na kula Nondozz kwenye siku hiyo maalum Hoyce Temu ambaye pia ni Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania aliamua kufanya mahojiano na baadhi ya wahitimu kwa ajili ya kipindi chake.
Picture 055Mlimbwende Hoyce Temu akizungumza na mwandishi wa habari wa ITV kuhusiana na taalum aliyoipata itakavyoweza kuboresha utendaji wake kazini pamoja na kuendelea kuisaidia jamii inayomzunguka kupitia kipindi chake cha Mimi na Tanzania.
Picture 070 
Mwandishi wa habari wa kituo cha ITV,  Shaban Tole akimpongeza Hoyce Temu.
Picture 078 
Hoyce Temu katika picha ya kumbukumbu na marafiki.
Picture 071
Hoyce Temu akiondoka eneo la tukio na furaha isiyo na kifani.

No comments:

Post a Comment