TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, December 2, 2013

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AWASILI MBARALI, AENDELEA NA ZIARA YAKE


Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ukizungumza na wananchi baada ya kuwasili katika mji wa Igawa wakati ukielekea Ludewa wilayani Mbarali Kinana amepata nafasi ya kuongea na wananchi wa eneo hilo kama anavyoonekana Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya na Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki  Mh. Godfrey Zambi, Leo katibu mkuu huyo anafanya ziara katika wilaya ya Mbarali akikagua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi kuimarisha uhai wa chama cha Mapinduzi, Katika msafara huo Kinana ameongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC  Itikadi, Siasa na Uenezi na Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa  3 
Jengo la ofisi ya CCM  kata Ihanga iliyozinduliwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo  5 

No comments:

Post a Comment