TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, December 3, 2013

KONGAMANO LA WALIMU LAFANA JIJINI ARUSHA

 2-4 
Mkuu wa Wilaya wa Arusha, Mhe. John Mogella akifungua rasmi kongamano la walimu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa lililofanyika Jijini Arusha mwishoni mwa wiki. Kongamano hilo ambalo lililohudhuriwa na zaidi ya walimu 350 lilidhaminiwa kwa ushirikiano wa  benki ya NMB pamoja na shirika la bima la African Life Asurance. Kutoka Kulia ni Meneja wa NMB kanda ya Kaskazini, Vicky Bishubo, Mkuu wa Wilaya Arumeru, Mhe. Nyiremba Munasa pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa NMB, Abdulmajid Nsekela. 7 
Meneja Mikopo Kitengo cha Wateja Binafsi wa NMB, Suzan Shuma akitoa mada  kuhusu bidhaa na huduma zinazotolewa na benki ya NMB katika kongamano la walimu lililofanyika Jijini Arusha. Kongamano hilo  lilidhaminiwa kwa ushirikiano wa  benki ya NMB pamoja na shirika la bima la African Life Asurance 1-5 
Meneja Kituo cha Biashara cha Arusha (NMB Business Center- Arusha), Jonathan Eliamisi(kulia) akimkaribisha Mkuu wa Wilaya Arumeru, Mhe. Nyiremba Munasa katika kongamano la walimu lililofanyika Jijini Arusha mwishoni mwa wiki. Kongamano hilo lilidhaminiwa kwa ushirikiano wa  benki ya NMB pamoja na shirika la bima la African Life Asurance. Wakishuhudia ni Meneja wa NMB kanda ya Kaskazini, Vicky Bishubo (pili kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa NMB, Abdulmajid Nsekela. 3-4 
Baadhi ya Walimu wakifuatilia kwa makini kongamano hilo                      4-3 
Maafisa wa NMB, Wakuu wa Wilaya, Walimu Wakuu kutoka Longodo, Monduli, Arumeru na Manispaa ya Arusha wakiwa katika picha ya pamoja katika kongamano la walimu lililofanyika jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment