TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, December 2, 2013

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, DKT. EMMANUEL NCHIMBI AZINDUA RASMI KIWANDA CHA USHONAJI CHA GEREZA KUU BUTIMBA, MWANZA PAMOJA NA MAGEREZA “DUTY FREE SHOP” YA KANDA YA ZIWA LEO JIJINI MWANZA by John Bukuku on December 2, 2013 in JAMII with No comments 1Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Emmanuel John Nchimbi(suti nyeusi) akifurahia jambo na Mmoja wa Wafungwa( kushoto) wa Gereza Kuu Butimba, Mwanza ambaye ni fundi Ushonaji wa nguo za aina mbalimbali mara baada ya uzinduzi rasmi wa Kiwanda cha Ushonaji cha Gereza Kuu Butimba. Kiwanda hicho kitakuwa kinatoa huduma ya Ushonaji wa Sare za Maafisa, Askari, Watumishi raia, Wafungwa pamoja na nguo za aina mbalimbali za Taasisi za Serikali na Watu Binafsi katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa( kulia) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja. 2Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Dkt. Emmanuel John Nchimbi( suti nyeusi) akiangalia nguo za aina mbalimbali kama ambavyo zinaoonekana katika picha ambazo zimeshonwa na Wafungwa katika Kiwanda cha Gereza Kuu Butimba, Mwanza ambapo Kiwanda hicho kimezinduliwa rasmi leo Disemba 02, 2013(kushoto kwa Dkt. Nchimbi) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja. M4Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Dkt. Emmanuel John Nchimbi(Mb) akikata utepe kuashilia uzinduzi rasmi wa Magereza “Duty Free Shop” iliyopo Gereza Kuu Butimba, Mwanza ambayo itahudumia Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa leo Disemba 02, 2013 katika Viwanja vya Gereza Kuu Butimba( kulia) ni Rais wa Transit Military Shop Limited, Bw. Sadrudin Virji( nyuma kulia) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja.


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Emmanuel John Nchimbi(suti nyeusi) akifurahia jambo na Mmoja wa Wafungwa( kushoto) wa Gereza Kuu Butimba, Mwanza ambaye ni fundi Ushonaji wa nguo za aina mbalimbali mara baada ya uzinduzi  rasmi wa Kiwanda cha Ushonaji cha Gereza Kuu Butimba. Kiwanda hicho kitakuwa kinatoa huduma ya Ushonaji wa Sare za Maafisa, Askari, Watumishi raia, Wafungwa pamoja na nguo za aina mbalimbali za Taasisi za Serikali na Watu Binafsi katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa( kulia) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja. 2 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Dkt. Emmanuel John Nchimbi( suti nyeusi) akiangalia nguo za aina mbalimbali kama ambavyo zinaoonekana katika picha ambazo zimeshonwa na Wafungwa katika Kiwanda cha Gereza Kuu Butimba, Mwanza ambapo Kiwanda hicho kimezinduliwa rasmi leo Disemba 02, 2013(kushoto kwa Dkt. Nchimbi) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja. M4 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Dkt. Emmanuel John Nchimbi(Mb) akikata utepe kuashilia uzinduzi rasmi wa Magereza “Duty Free Shop” iliyopo Gereza Kuu Butimba, Mwanza ambayo itahudumia Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa leo Disemba 02, 2013 katika Viwanja vya Gereza Kuu Butimba( kulia) ni Rais wa Transit Military Shop Limited, Bw. Sadrudin Virji( nyuma kulia) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja.

No comments:

Post a Comment