TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, December 2, 2013

WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA ATEMBELEA OFISI ZA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO

IMG_0032 
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo  Pinda akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa  Mtendaji Mkuu wa TTCL Dkt. Kamugisha Kazaura kuhusu  baadhi ya mitambo iliyopo nje ya jengo la Simu (Telephone House). Wa pili kutoka  kushoto ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Makame Mbarawa. IMG_0042 
Afisa Mtendaji wa TTCL Dkt. Kamugisha Kazaura akitoa taarifa fupi kuhusu  utendaji wa TTCL na jinsi kamuni hiyo  ilivyojidhatiti katika kujenga, kusimamia na kuendesha mkongo wa Taifa wa Mawasilino. IMG_0076 
Afisa Mtendaji wa TTCL Dkt. Kamugisha Kazaura akimuonesha waziri mkuu mkongo halisi (fibre) wakati wa ziara yake katika kituo maalum cha uangalizi wa mkongo wa Taifa (Network Observation Centre).  IMG_0086 
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akipata maelezo namna mitambo ya mkongo wa taifa inavyofanya kazi  kutoka kwa Mhandisi Adam Mwaipungu wakati wa ziara yake katika ofisi hizo. IMG_0029 
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Makame Mbarawa( Kushoto) pamoja na msafara wa  Waziri Mkuu wakielekea katika kituo maalumu cha uangalizi wa mkongo wa Taifa wa Mawasiliano.

No comments:

Post a Comment