WAFANYAKAZI TBL WASHIRIKI KUPIMA KWA HIARI VIRUSI VYA UKIMWI
 Katibu
 Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bi. Tereza Mbando (katikati), akiwasha
 mshumaa kuzindua zoezi la kupima virusi vya ukimwi kwa hiari kwa 
wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam kuadhimisha 
siku ya Ukimwi duniani. Kulia ni Meneja Raslimali watu wa kampuni hiyo, 
Bw. David Mafuru. 
Muuguzi
 Mshauri wa kupima maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, Bi. Aulelia Kunambi,
 akimpima Meneja Raslimali Watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. 
David Mafuru (kulia), wakati wa zoezi maalumu la kupima Ukimwi kwa hiari
 kwa wafanyakazi wa Kampuni hiyo, Dar es Salaam juzi. 
Baadhi
 ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiwasha mishumaa 
baada ya kushiriki katika zoezi la kupima ukimwi kwa hiari, wakati 
wakiadhimisha siku ya Ukimwi Duniani. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiwasha 
mishumaa baada ya kushiriki katika zoezi la kupima ukimwi kwa hiari, 
wakati wakiadhimisha siku ya Ukimwi Duniani. 
Wasanii
 wa kundi la THT wakitoa burudani kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Bia 
Tanzania TBL, wakati wa zoezi la kupima virusi vya ukimwi kwa 
wafanyakazi wa kampuni hiyo, Dar es Salaam 
 
 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment