TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, December 2, 2013

WAFANYAKAZI TBL WASHIRIKI KUPIMA KWA HIARI VIRUSI VYA UKIMWI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bi. Tereza Mbando (katikati), akiwasha mshumaa kuzindua zoezi la kupima virusi vya ukimwi kwa hiari kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam kuadhimisha siku ya Ukimwi duniani. Kulia ni Meneja Raslimali watu wa kampuni hiyo, Bw. David Mafuru.
Muuguzi Mshauri wa kupima maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, Bi. Aulelia Kunambi, akimpima Meneja Raslimali Watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. David Mafuru (kulia), wakati wa zoezi maalumu la kupima Ukimwi kwa hiari kwa wafanyakazi wa Kampuni hiyo, Dar es Salaam juzi.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiwasha mishumaa baada ya kushiriki katika zoezi la kupima ukimwi kwa hiari, wakati wakiadhimisha siku ya Ukimwi Duniani.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiwasha mishumaa baada ya kushiriki katika zoezi la kupima ukimwi kwa hiari, wakati wakiadhimisha siku ya Ukimwi Duniani.
Wasanii wa kundi la THT wakitoa burudani kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL, wakati wa zoezi la kupima virusi vya ukimwi kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo, Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment