===========================================================
Katibu wa CCM mkoani Iringa HASSANI MTENGA ameahidiwa ushindi
Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Iringa HASSANI MTENGA akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kihesa Mgagao.
Baadhi ya wananchi waliohudhulia mkutano huo.
NA FREDY MGUNDA,KILOLO
Katibu wa Chama cha Mapinduzi
CCM mkoani Iringaha HASSANI MTENGA, amefungua rasmi kampeni za uchaguzi
wa Serikali za mitaa katika kijiji cha kihesa mgagao na kulakiwa na
mamia ya wananchi katika kijiji chicho kilichpo wilayani kilolo.
Akizungumza wakati wa ufunguzi
wa kampeni hizo Katika Kijiji hicho HASSANI MTENGA alisema kuwa kampeni
hizo zinazotaraji kufikia kikomo Disemba 13 Mwaka huu, zilipaswa
kufanyika muda mrefu hivyo kilichochelewesha uchaguzi huo ni mchakato wa
upatikanaji wa katiba mpya.
MTENGA ametumia nafasi hiyo pia
kuwanadi mgombea nafasi ya uenyeviti wa kijij hicho ambapo amewaomba
wananchi wa kijiji hiocho kumchagua PHILIPO KAGINE awe mwenyekiti wao.
Akizungumzia sakata la vyama vya
upinzani kutaka kugomea uchaguzi amesema kuwa wasimamizi wa uchaguzi
nchini wanaangalia vigezo vya wagombea hivyo kama hawakuwa na vigezo
kusingekuwa na usamaria mwema kwenye kwenye jambo.nao wananchi wa kijiji hicho walimwambia katibu huyu kuwa mgombea wao kupitia chama cha mapinnduzi atashinda kwa kishindo kwa kuwa kijiji hicho ni ngome ya CCM.
====================================================================
KONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU LILILOANDALIWA NA SHIRIKA LA SEED TRUST LAFIKIA TAMATI MKOANI MOROGORO
Mkurugenzi
Mtendaji wa Shirika la Seed Trust, Margareth Mkanga (MB) akizungumza
katika kongamano hilo. Kulia ni Mwenyekiti wa Shirika hilo, Stephen
Mashishanga. Kongamano hilo la
Majadiliano kuhusiana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na walemavu
limeshirikisha wadau mbalimbali kutoka baadhi ya mikoa ya Tanzania na
kuandaliwa na Shirika la Seed Trust la mjini Morogoro kwa kushirikiana
na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani
(UNFPA)
Mwenyekiti wa Shirika hilo, Stephen Mashishanga, akichangia mada katika kongamano hilo.
Mwenyekiti wa Shirika hilo, Stephen Mashishanga, akichangia mada katika kongamano hilo.
Dk.Ernest Rugiga akitoa mada kuhusu afya ya uzazi.
Mwezeshaji Victor Mulimila akizungumzia kwa ujumla kuhusu vitendo vya ukatili. Kulia ni Dk.Ernest Rugiga
Ofisa Tarafa wa Manispaa ya Morogoro, Mlange Pakalapakala Jumamosi, akichangia mada kwenye kongamano hilo.
Wanahabari walikuwepo kwenye kongamano hilo wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi. wa Bwalo la JKT mkoani humo.
Maofisa wa Shirika la Seed Trust wakiwa kwenye kongamano hilo.
Washiriki wa kongamano hilo.
(Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com)
======================================================
Tathimini ya ripoti mradi wa GEWE yazinduliwa Dar
Mkurugenzi
Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Valerie
Msoka pamoja na meza kuu wakionesha ripoti ya GEWE mara baada ya
uzinduzi wake leo jijini Dar es Salaam.
Mratibu
wa Kituo cha Usuluhishi (CRC), Bi. Gladness Munuo (wa kwanza kushoto)
akizungumza katika uzinduzi wa ripoti ya Kutokomeza Ukatili na vitendo
vya Unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto (GEWE) leo
jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi
Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Valerie
Msoka akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa ripoti ya Kutokomeza
Ukatili na vitendo vya Unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na
watoto (GEWE) leo jijini Dar es Salaam.
Mratibu
wa Mradi wa GEWE kutoka TGNP Mtandao, Matha Samwel akizungumza na
vyombo vya habari katika uzinduzi wa ripoti ya Kutokomeza Ukatili na
vitendo vya Unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto (GEWE)
leo jijini Dar es Salaam.
kurugenzi
Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Valerie
Msoka akionesha ripoti ya GEWE mara baada ya uzinduzi wake leo jijini
Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Valerie
Msoka akizungumza na viongozi wa vituo vya taarifa na maarifa waliokuwa
katika hafla ya uzinduzi wa ripoti ya GEWE jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Valerie
Msoka akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa ripoti ya Kutokomeza
Ukatili na vitendo vya Unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na
watoto (GEWE) leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya wanahabari na viongozi wa vituo vya taarifa na maarifa wakifuatilia
hafla ya uzinduzi wa ripoti ya GEWE jijini Dar es Salaam Makao Makuu ya
Ofisi za TAMWA Sinza Mori Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Valerie
Msoka pamoja na meza kuu wakionesha ripoti ya GEWE mara baada ya
uzinduzi wake leo jijini Dar es Salaam.
Akizinduwa ripoti hiyo leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Valerie Msoka alisema mradi huo umekuwa na mafanikio makubwa kwa jamii katika kujitambua na kuibua vitendo vya Ukatili wa kijinsia ikiwa ni pamoja na vyombo vya habari kuibua vitendo hivyo zaidi ya hapo awali.
Alisema idadi kubwa ya habari, makala na vipindi vya redio na televisheni juu ya masuala ya ukatili vimefanywa maeneo mbalimbali nchini, jambo ambalo limeonesha mafanikio ikiwa ni pamoja na jamii kuelewa zaidi masuala ya ukatili na unyanyasaji na wengine kuanza kuyapiga vita kwa ushirikiano.
Aidha Mkurugenzi huyo Mtendaji wa TAMWA alisema mradi huo ulitekelezwa kwa pamoja kwa ushirikiano wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), Chama cha Wanasheria Wanawake Zanzibar (ZAFELA) na Kituo cha Usuluhishi cha TAMWA (CRC), kinatekeleza mpango wa kutokomeza ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto (GEWE II) katika wilaya 10 za Tanzania bara na Zanzibar.
Kwa upande wake Matha Samwel Mratibu wa Mradi wa GEWE kutoka TGNP Mtandao, akizungumza alisema mradi huo umekuwa na mafanikio makubwa kiasi cha kuibua changamoto ambazo zinaitaji utatuzi kwa ushirikiano na wadau wengine mbalimbali.
“…Katika kipindi cha utekelezaji wa mradi wa GEWE kumekuwa na mafanikio makubwa, moja wapo kubwa ni kuanzishwa kwa vituo vya taarifa na maarifa katika wilaya zote 10 za mradi, ambapo vituo hivyo vimekuwa vikitumika kama sehemu ya kutolea taarifa kwa jamii…sehemu ambayo wanajamii wanawake na wanaume wanakutana na kubadilishana taarifa na kuangalia namna ya kutatua matatizo yao yanayotoka katika jamii kama kubakwa, vipigo au kulawitiwa na mengineyo,” alisema Bi. Samwel.
Hata hivyo aliongeza kuwa vituo vya taarifa na maarifa vimekuwa na msaada mkubwa katika maeneo hayo kwani jamii zimeweza kuvitumia pia kwa kujadili namna ya kukuza uchumi kwenye familia zao kwa kuanzisha vikundi vya kijasiriamali vinavyochangia pia kupunguza umasikini kwenye jamii suala ambalo linachangia vitendo vya ukatili wa kijinsia kwenye jamii.
Anasema vituo vya taarifa na maarifa vimekuwa vikiunganisha nguvu na serikali na vyombo vingine vya dola kuhakikisha wanapambana na vitendo vya ukatili kwa kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake kwa watu wanaohusika ama kutuhumiwa na vitendo vya ukatili. Alitolea mfano katika eneo la Mwananyamala Kituo cha Taarifa na Maarifa kilishirikiana na Serikali kwa kuibua taarifa ya kuteswa kwa binti wa kazi za ndani na mwajiri wake jambo ambalo liliwezesha bosi huyo kufikishwa mahakamani.
“…Hivyo waweza kuona matokeo makubwa katika mradi wa GEWE ni kuanzishwa vituo vya taarifa na maarifa sehemu ambayo imekuwa ni kimbilio la wengi, na pili ni nguvu ya pamoja ya jamii katika uwajibikaji. Lakini changamoto iliyopo sasa ni namna ya kuwasaidia kwa kuwaifadhi waathiriwa wa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii,” alisema Mratibu huyo.
Aidha aliitaka Serikali na wadau wengine kujitokeza na kushirikiana katika kujenga kituo kikubwa cha kuwasaidi wananchi ambao wamekumbana na ukatili wa kijinsia wakati wakipatiwa huduma kabla ya kurejea katika jamii yao. “…Mfano kumekuwa kuna mabinti hata hapa Dar es Salaam wamekuwa wakikimbia kukeketwa na familia zao lakini hakuna sehemu ya kuwaifadhi, hivyo tunaiomba Serikali na wadau wengine wajitokeze ili kuunganisha nguvu tujenge kituo hiki,” alisema. *Imeandaliwa na www.thehabari.com
==================================================
Viongozi wa Dini Mbalimbali wamuombea dua Rais Kikwete ikulu
Tigo yatoa dola 40,000 kwa miradi ya wajasiriliamali jamii
……………………………………………………………………………..
Tigo kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali Reach for Change leo imetangaza washindi wawili wengine wa wajasiriliamali jamii watakaodhaminiwa kiasi cha dola elfu 20,000 kila mmoja kwa ajili ya kuendesha miradi yao inayolenga kuinua hali ya maisha ya watoto nchini. Washindi hao walichaguliwa katikati ya ushindani mkali ambapo mamia ya maombi na mawazo zaidi ya 557 yenye kutumia nyenzo za kidijitali kwa ajili yakuwasaidia watoto nchini yalipokelewa, alisema Mkurugenzi Mkuu Diego Gutierrez katika tafriija maalum jijini Dar es Salaam. Majina na miradi ya wawili hao ambao wanaungana na washindi wengine watano wa nyuma kama wajasiriliamali jamii katika shindano la Tigo Digital Changemakers ni kama ifuatayo: 1. Leka Tingitana, eAfya; o Hii ni teknolojia inayotumika kuongeza ufanisi katika mawasiliano na utendaji wa kazi wa sekta ya afya nchini kwa kuwafikishia huduma za afya wagonjwa kwa uharaka zaidi. Teknolojia hii inawalenga watumishi wa afya katika jamii. 2. Innocent James Sulle, Travelling Library; o Hii ni maktaba maalum ya kidijitali kwa ajili ya kuwapatia watoto fursa ya kujenga tabia ya kusoma vitabu kupitia njia za kusoma kielektroniki. “Tunayofuraha kubwa sana kufanikisha miradi ya kibunifu yenye suluhu za kidijitali kuweza kuinua hali ya maisha ya watoto nchini. Hii inadhihirisha kwamba tunadhamira ya dhati kabisa ya kusaidia jamii kupitia suluhu za kidijitali na hasa hasa katika kuwekeza kwa watoto ambao ndio taifa la kesho,” alisema Gutierrez. Aliendelea, “Wajasiriliamali hawa wawili wataingia katika mpango maalum wa maendeleo ambapo watapatiwa msaada wa kubadilisha mawazo yao kuwa miradi endelevu. Mbali na dola 20,000 wanazo zawadiwa, pia watapatiwa uongozaji maalum na ushauri wakitaalam kutoka maafisa waandamizi wa Tigo na Reach for Change.” Agosti mwaka huu, Tigo na Reach for Change walizindua kwa mara ya tatu nchini Tanzania mpango huu wenye malengo ya kuwatafuta na kuwasaidia wajasiriliamali jamii wenye mawazo mazuri ya kidijitali ya jinsi ya kusaidia kuinua hali ya maisha ya watoto. Mkurugenzi wa Kanda wa Reach for Change nchini Tanzania Amma Lartey pia aliwapongeza washindi hao pamoja na washiriki wote wa shindano la Tigo Digital Changemakers kwa kile alichoita “miradi mizuri” ambayo yalijaa ubunifu mkubwa. Hakika ilikuwa mchakato wenye ushindani mkubwa kuweza kuwachagua washindi wawili tu kati ya mamia na mamia ya miradi ambayo tulipokea. Imechukua zaidi ya miezi mitatu kuweza kupitia na kuchuja maombi ya kila mmoja aliyetuma na kuweza kufanya usaili kwa baadhi ya wale waliopita katika mchujo. Tunayofuraha kwamba mchakato huu umeisha kwa mafanikio makubwa huku tukiwapata washindi hawa wawili ambao tunaamini miradi yao yatakuwa chachu kubwa katika kuchangia kuleta maisha bora kwa watoto wengi nchi nzima,” Lartey alisema. Tigo na Reach for Change ilianza mchakato wa kuwatafuta wajasiriliamali jamii kutoka kila nchi ambayo kampuni ya Tigo inafanya kazi barani Afrika kuanzia Agosti 2012, mashindano hayo yalianzia Rwanda, ikifuatiwa na Tanzania, Congo DRC, Ghana, Chad halafu Senegal. Mpango huu wa Digital Changemakers ipo katika malengo ya Tigo ya kuleta maisha ya kidijitali nchini. Huu ni mwaka wa tatu tangu Tigo na Reach for Change wameanza kwa pamoja kuwadhamini wajasiriliamali jamii kuweza kutimiza miradi yao. Kwa muda huo wajasiriliamali jamii watano wamekwishapatiwa msaada wa kifedha kwa ajili ya kuendesha miradi yao ambapo mpaka sasa watoto 9,500 wameshanufaika nchi nzima.
=============================================================
Watanzania wahaswa kuendelea kusaidia sekta ya Michezo nchini
WaziriwaHabari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na wadau wa michezo ya Ngumina na Karate wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa Ulingo wa Ngumi wa Kimataifa pamoja na hundi yenye thamani ya shilingi milioni kumi kwa ajili ya kusaidia mchezo wa Karate kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Zantel Tanzania leo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Pratap Ghose.
Picha zote na: Frank Shija, WHVUM
========================================================
ILIKUJUA MAHITAJI YAO SANJARI NA KUBADILISHA MITAALA YA ELIMU
WAZIRI wa
Kazi na Ajira , Gaudensia Kabaka wakati alipokuwa akizindua kongamanolililoshirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali kwaajili ya
kujadili changamoto
wanazozipata wadau hao
Kazi na Ajira , Gaudensia Kabaka wakati alipokuwa akizindua kongamanolililoshirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali kwaajili ya
kujadili changamoto
wanazozipata wadau hao
waziri wa ajira na kazi
Gaudensia Kabaka akiwa katika picha ya pamoja wadau
waliouthuria katika konga mano
hilo
Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi
akiwa anaongea katika kongamano hilo
wadau kutoka sekta ya gesi na petrol wakiwa
wanafatilia
katibu mkuu wa VET Pro.Sifuni Mchome akiwa
anawakilisha mada
Gaudensia Kabaka akiwa katika picha ya pamoja wadau
waliouthuria katika konga mano
hilo
Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi
akiwa anaongea katika kongamano hilo
wadau kutoka sekta ya gesi na petrol wakiwa
wanafatilia
katibu mkuu wa VET Pro.Sifuni Mchome akiwa
anawakilisha mada
Na Woinde Shizza,Arusha
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
(Veta)wametakiwa
kuhakikisha wanasikiliza maoni ya wadau ili kujua mahitaji yao sambamba na
kubadili mitaala ya elimu ya mafunzo yanayotolewa kwenye vyuo
hivyo ili kuendana na soko la ajira lililopo
hivi sasa.
(Veta)wametakiwa
kuhakikisha wanasikiliza maoni ya wadau ili kujua mahitaji yao sambamba na
kubadili mitaala ya elimu ya mafunzo yanayotolewa kwenye vyuo
hivyo ili kuendana na soko la ajira lililopo
hivi sasa.
Hayo yanesemwa leo jijini hapa na WAZIRI wa
Kazi na Ajira , Gaudensia Kabaka wakati alipokuwa akizindua kongamano
lililoshirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali kwaajili ya kujadili changamoto
wanazozipata wadau hao na nini chakuongeza kwa vijana wanaopitia Veta na kupata
ajira katika sekta mbalimbali sanjari na kuzindua kitabu kinachoanisha mahitaji
ya soko la ajira kwa vijana
Aidha aliwataka vijana kutumia fursa za kujiunga na
Veta ili waweze kujiariri badala ya
kufanya biashara za kuuza vitu mikononi
bali watumie taaluma walizozipata
kuzalisha vitu vyenye ubora.
Veta ili waweze kujiariri badala ya
kufanya biashara za kuuza vitu mikononi
bali watumie taaluma walizozipata
kuzalisha vitu vyenye ubora.
Alisema vijana
wanaopitia vyuo vya mafunzo Veta si wengi sana huku wimbi la vijana likiwa bado
mitaani na kuuza bidhaa zao mabarabarani hivyo ni vyema sasa vijana hao
wakaondoka barabarani na kujiunga na vyuo vya ufundi ili waweze kupata mbinu za
kutengeneza vitu sambamba na kupata masoko ya
uhakika.
wanaopitia vyuo vya mafunzo Veta si wengi sana huku wimbi la vijana likiwa bado
mitaani na kuuza bidhaa zao mabarabarani hivyo ni vyema sasa vijana hao
wakaondoka barabarani na kujiunga na vyuo vya ufundi ili waweze kupata mbinu za
kutengeneza vitu sambamba na kupata masoko ya
uhakika.
Alisema ni
vyema sasa Vyuo vya Veta vikaweka mkazo katika sekta ya madini na gesi ili
waweze kuangalia mahitaji ya wataalam ni yapi na kutoa elimu hiyo ambayo
itawezesha vijana wengi kupata ajira na kukuza uchumi wan
chi.
vyema sasa Vyuo vya Veta vikaweka mkazo katika sekta ya madini na gesi ili
waweze kuangalia mahitaji ya wataalam ni yapi na kutoa elimu hiyo ambayo
itawezesha vijana wengi kupata ajira na kukuza uchumi wan
chi.
“Mahitaji ya
vijana ni mengi katika sekta rasmi na zisizo rasmi na kia sekta inamtegemea mtu
fulani hivyo ni vyema Veta mkasikiliza mahitaji ya wadau sambamba na kutafuta
mbinu za kufundisha zaidi ili kuendana na mahitaji ya soko na nyinyi vijana
tokeni barabarani mkajiunge na vyuo vya ufundi ili kuweza kuuza biashara zenu
kwa ubora badala ya kukimbilia kuuza barabarani “.
vijana ni mengi katika sekta rasmi na zisizo rasmi na kia sekta inamtegemea mtu
fulani hivyo ni vyema Veta mkasikiliza mahitaji ya wadau sambamba na kutafuta
mbinu za kufundisha zaidi ili kuendana na mahitaji ya soko na nyinyi vijana
tokeni barabarani mkajiunge na vyuo vya ufundi ili kuweza kuuza biashara zenu
kwa ubora badala ya kukimbilia kuuza barabarani “.
Naye
Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi alisema kongamano hilo hufanyika
kila mwaka na kushirikisha wadau katika sekta mbalimbali ili kujadili masuala
mbalimbali na mahitaji ya wadau hao katika sekta ya ajira sambamba na kuboresha
mitaala itakayokwenda na wakati na kuwezesha vijana wanaopitia Veta kuwa bora
zaidi kipindi cha kumaliza chuo na kupata ajira.
Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi alisema kongamano hilo hufanyika
kila mwaka na kushirikisha wadau katika sekta mbalimbali ili kujadili masuala
mbalimbali na mahitaji ya wadau hao katika sekta ya ajira sambamba na kuboresha
mitaala itakayokwenda na wakati na kuwezesha vijana wanaopitia Veta kuwa bora
zaidi kipindi cha kumaliza chuo na kupata ajira.
Alisema pia
Veta inakabiliwa na uhaba wa rasilimali fedha
kwenye ujenzi wa vyuo vipya kwenye Wilaya mpya ambazo ni
Katavi, Geita,
Njombe na Simiu lakini pia kuonaongezeko kubwa la vijana na watu mbalimbali
ambao wanajiunga na vyuo hivyo nchini kwaajili ya kupata mafunzo mbalimbali
yanayowawezesha kupata ajira.
Veta inakabiliwa na uhaba wa rasilimali fedha
kwenye ujenzi wa vyuo vipya kwenye Wilaya mpya ambazo ni
Katavi, Geita,
Njombe na Simiu lakini pia kuonaongezeko kubwa la vijana na watu mbalimbali
ambao wanajiunga na vyuo hivyo nchini kwaajili ya kupata mafunzo mbalimbali
yanayowawezesha kupata ajira.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Veta, Profesa
Idrissa Mshoro alisisitiza kuwa Veta
inatambua na kuthamini maeneo mbalimbali yanayohitaji soko la ajira ndio maana
vijana wanaopata ujuzi kupitia veta wanafanya kazi kwa makini na kujipatia
vipato zaidi.
Idrissa Mshoro alisisitiza kuwa Veta
inatambua na kuthamini maeneo mbalimbali yanayohitaji soko la ajira ndio maana
vijana wanaopata ujuzi kupitia veta wanafanya kazi kwa makini na kujipatia
vipato zaidi.
Aliongeza
kuwa hivi sasa Veta inashirikiana na tasisi na mashirika mbalimbali hususan ya
sekta ya madini na gesi na kutoa mafunzo kwaajili ya kuwasaidia vijana
kukabiliana na soko la ajira .
kuwa hivi sasa Veta inashirikiana na tasisi na mashirika mbalimbali hususan ya
sekta ya madini na gesi na kutoa mafunzo kwaajili ya kuwasaidia vijana
kukabiliana na soko la ajira .
==============================================================
flydubai announces three new routes including Hargeisa, Somaliland
flydubai will become the first carrier to operate to Hargeisa, Somaliland from Dubai with four weekly flights
…………………………………………………………………………………………………………
From 05 March 2015, flydubai will become the first carrier to operate to Hargeisa, Somaliland from Dubai with four weekly flights. flydubai has expanded its network in Africa in 2014 to 13 points served by 60 weekly flights.
Commenting on the new announcements, Hamad Obaidalla, Chief Commercial Officer at flydubai, said: “2014 continues to be a very busy year for flydubai. We have announced 26 new routes since January and took delivery of eight new aircraft to support the phenomenal growth plans. We are very excited about the untapped opportunities in the emerging African markets, the progress the UAE has made on the bilateral front in India and the ongoing strong ties with Saudi.”
The new announced routes underline flydubai’s commitment to connecting the UAE to previously underserved markets. The carrier has linked Dubai to 56 underserved destinations since it started its operations in 2009.
Sudhir Sreedharan, Senior Vice President Commercial (GCC, Subcontinent, Africa) for flydubai, said: “We are committed to bringing flydubai’s high quality and reliable services to underserved markets like Hargeisa and giving passengers more options to travel to the UAE and beyond through Dubai’s aviation hub. We are sure that both our Economy Class and Business Class will exceed the passengers’ expectations and live up to the Dubai brand we proudly carry in our name.”
flydubai has a brand new fleet of 43 new Next-Generation Boeing 737-800 aircraft and operates more than 1,200 flights a week across the Middle East, GCC, Africa, Caucasus, Central Asia, Europe and the Indian Subcontinent.
======================================================
ZIARA YA NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS MH. UMMY MWALIMU MTWARA
Mheshimiwa Ummy Mwalimu (Mb) Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais alifanya ziara ya kukagua Mazingira Mkoani Mtwara hususan katika eneo la Mdenga, Manispaa ya Mtwara. Chimbuko la ziara hii ni malalamiko yaliyotolewa na wananchi kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Abdulrahman Kinana alipokuwa kwenye ziara ya kikazi mkoani humo
=================================================================
WATAKIWA KUHAKIKISHA WANASIKILIZA WADAU KUJUA MAHITAJI
Mahmoud Ahmad Arusha
WAZIRI wa Kazi na Ajira ,
Gaudensia Kabaka ametoa rai kwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Stadi (Veta) kuhakikisha wanasikiliza maoni ya wadau ili kujua mahitaji
yao sambamba na kubadili mitaala ya elimu ya mafunzo yanayotolewa kwenye
vyuo hivyo ili kuendana na soko la ajira lililopo hivi sasa.
Aidha vijana wameaswa kutumia
fursa za kujiunga na Veta ili waweze kujiariri badala ya kufanya
biashara za kuuza vitu mikononi bali watumie taaluma walizozipata
kuzalisha vitu vyenye ubora.
Hayo yalisemwa jana Jijini hapa
na Kabaka wakati alipokuwa akizindua kongamano lililoshirikisha wadau
kutoka sekta mbalimbali kwaajili ya kujadili changamoto wanazozipata
wadau hao na nini chakuongeza kwa vijana wanaopitia Veta na kupata ajira
katika sekta mbalimbali sanjari na kuzindua kitabu kinachoanisha
mahitaji ya soko la ajira kwa vijana .
Alisema vijana wanaopitia vyuo
vya mafunzo Veta si wengi sana huku wimbi la vijana likiwa bado mitaani
na kuuza bidhaa zao mabarabarani hivyo ni vyema sasa vijana hao
wakaondoka barabarani na kujiunga na vyuo vya ufundi ili waweze kupata
mbinu za kutengeneza vitu sambamba na kupata masoko ya uhakika.
Alisema ni vyema sasa Vyuo vya
Veta vikaweka mkazo katika sekta ya madini na gesi ili waweze kuangalia
mahitaji ya wataalam ni yapi na kutoa elimu hiyo ambayo itawezesha
vijana wengi kupata ajira na kukuza uchumi wan chi.
“Mahitaji ya vijana ni mengi
katika sekta rasmi na zisizo rasmi na kia sekta inamtegemea mtu fulani
hivyo ni vyema Veta mkasikiliza mahitaji ya wadau sambamba na kutafuta
mbinu za kufundisha zaidi ili kuendana na mahitaji ya soko na nyinyi
vijana tokeni barabarani mkajiunge na vyuo vya ufundi ili kuweza kuuza
biashara zenu kwa ubora badala ya kukimbilia kuuza barabarani “.
Naye Mkurugenzi wa Veta,
Mhandisi Zebadiah Moshi alisema kongamano hilo hufanyika kila mwaka na
kushirikisha wadau katika sekta mbalimbali ili kujadili masuala
mbalimbali na mahitaji ya wadau hao katika sekta ya ajira sambamba na
kuboresha mitaala itakayokwenda na wakati na kuwezesha vijana wanaopitia
Veta kuwa bora zaidi kipindi cha kumaliza chuo na kupata ajira.
Alisema pia Veta inakabiliwa na
uhaba wa rasilimali fedha kwenye ujenzi wa vyuo vipya kwenye Wilaya
mpya ambazo ni Katavi, Geita, Njombe na Simiu lakini pia kuonaongezeko
kubwa la vijana na watu mbalimbali ambao wanajiunga na vyuo hivyo nchini
kwaajili ya kupata mafunzo mbalimbali yanayowawezesha kupata ajira.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya
Veta, Profesa Idrissa Mshoro alisisitiza kuwa Veta inatambua na
kuthamini maeneo mbalimbali yanayohitaji soko la ajira ndio maana vijana
wanaopata ujuzi kupitia veta wanafanya kazi kwa makini na kujipatia
vipato zaidi.
Aliongeza kuwa hivi sasa Veta
inashirikiana na tasisi na mashirika mbalimbali hususan ya sekta ya
madini na gesi na kutoa mafunzo kwaajili ya kuwasaidia vijana
kukabiliana na soko la ajira .
========================================================
RAIS WA ZANZIBAR DR. ALI MOHAMMED SHEIN MGENI RASMI TUZO ZA TASWA
……………………………………………………………………………………..
RAIS wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein
anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika utoaji wa tuzo za Wanamichezo Bora
Tanzania Ijumaa wiki hii.
Tuzo hizo zinaandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) na mwaka huu zimedhaminiwa na Selcom Wireless, Said Salim Bakhresa & Co Ltd – Bakhresa Group, IPTL, mifuko ya hifadhi ya jamii, PSPF na NSSF.
TASWA inaishukuru Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar kwa ushirikiano wake na kukubali Rais Dk. Shein aje
katika tuzo zetu, ambazo zitafanyika ukumbi wa Diamond Jubilee, VIP Dar
es Salaam.
Kukubali kwa Dk. Shein kuwa
mgeni rasmi kunaonesha jinsi gani alivyokuwa mwanamichezo wa kweli na
mwenye nia ya dhati ya kushirikiana na wadau wa michezo nchini.
Wanamichezo 44 wanatarajiwa
kupewa tuzo siku hiyo baada ya kufanya vizuri katika michezo mbalimbali
kuanzia Juni 2013 hadi Juni 2014. Pia itatolewa Tuzo ya Mwanamichezo
Bora wa jumla na Tuzo ya Heshima.
TASWA imewahi kutoa Tuzo ya
Heshima kwa Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, pia imewahi
kutoa Tuzo ya Heshima kwa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa
Stars’ iliyokuwa ikicheza mechi za kufuzu fainali za mataifa ya Afrika
mwaka 1980 zilizofanyika Lagos, Nigeria.
Tunaamini zitakuwa tuzo za aina
yake, ambapo tayari Kamati ya Kusimamia Tuzo hizo imeshatangaza majina
ya wanamichezo zaidi ya 100 wanaowania tuzo mbalimbali.
==============================================================
FID-Q AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAIFA LETU.
……………………………………………………………………………………………..
Msanii nguli wa miondoko ya Hip-hop Fareed Kubanda – Fid Q amekutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sports Lounge katikakati ya jiji la Dar es Salaam, kujadili maswala ya msingi yenye mustakabali chanya kwa maendelo ya taifa hili. Ameitisha mkutano huu akiwa kama kijana na mwenye nafasi na ushawishi kwa vijana wenzie katika ushiriki wa kuleta mabadiliko chanya na maendeleo ya nchi yetu. Fid Q amesukumwa kuzungumza na waandishi wa habari baada ya kutanabai kwamba vijana japo ni asilimia 80 ya taifa lakini hawana mwamko na msukumo wa kujitokeza kushiriki mchakato wa uchaguzi wa viongozi waowataka na wanaowaamini wanauwezo wa kuleta mabadiliko ya ki nidhamu kwenye masuala ya msingi ya taifa letu. “Kuna kitu kimoja ambacho watu wengi hasa hasa vijana wenzangu hawakifahamu, Nchi yetu ni changa sana. Vijana nchi hii chini ya umri wa miaka 35 ni zaidi ya asilimia 80 ya idadi ya watu, wakati watu wazima zaidi ya miaka 60 ni asilimia chini ya 5 ya watanzania wote. Hizi ni takwimu za sensa iliyopita. Nimetanguliza takwimu mapema kwa sababu, twakimu huwa hazisemi uwongo. Changamoto zinalolikumba taifa hili kwa kiasi kikubwa zinatuathiri sisi vijana wa nchi hii ambao ndio wengi wetu. Madhara yanayotokana na uongozi mbovu, vile vile yanatuathiri sana sisi vijana kwa wingi wetu. Tutake tusitake, ustawi na kunawiri kwa vijana ndio kutaamua mustakabali wa Tanzania, vijana tukilala basi na Tanzania pia italala.” Alisema Fid Q. Bado kuna changamoto ya upatikanaji wa ajira kwa vijana. Vijana wengi wamezagaa mitaani bila shughuli za kufanya. Hata wale wenye degree hawana kazi. Vijana wanakata tama na kuona kwamba wao sio sehemu ya taifa hili. Kuna changamoto ya viongozi waadilifu watakaosimamia kuhakikisha kwamba keki ya taifa inagawanywa kwa Watanzania wote na hailiwi na wachache. Baada ya utangulizi huo, ni dhahiri kwamba kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa unaoendelea, na uchaguzi mkuu wa 2015 lazima vijana tuamke na tushiriki kikamilifu. Kwanza, vijana wenye uwezo na sifa za kugombea nafasi za uongozi ni lazima wafanye hivyo, pili vijana wenye vigezo vya kupiga kura pia ni lazima wafanye hivyo maana ni wajibu wetu, tatu, vijana ni lazima tushiriki kikamilifu katika mchakato wa kampeni ili kuhakikisha ishu zetu za msingi zinajadiliwa na wagombea na zinapewa kipaumbele. Kama vijana wanakuwa na hofu basi niwakumbushe kwamba, Mwalimu Nyerere alikabidhiwa nchi hii akiwa na miaka 39 tu na kuanza harakati za kupigania Uhuru ambao tumeuenzi jana. Alikuwa ni kijana mdogo tu. Mzee wetu Dr. Salim Ahmed Salim alianza kuwa mwanadiplomasia mahiri akiwa na rika dogo tu, akiwa na umri wa miaka 22 alikuwa Balozi wa Tanzania, nchini Misri. Mifano ipo mingi, hivyo vijana tusipate woga – Tumechangia kupatikana kwa Uhuru na kujenga nchi hii, na sasa ni wakati mwingine tena wa kuibadilisha nchi yetu. “Hivyo mimi Fareed Kubanda, nimeamua kufanya matamasha ili kusimamia haya niliyoyasema hapo juu. Kwa kutumia nafasi zenu ndugu wana habari naomba mnisaidie kutangaza azma yangu hii pamoja na nitawapigia baadhi ya wasanii wenzangu kuwaomba waniunge mkono ili tufanikishe hili na tushiriki katika kuleta uongozi utako leta mabadiliko tunayoyataka na kwa kasi yetu sisi vijana.” Fid Q aliendelea “Ninatumaini kwamba wasanii wenzangu wataniunga mkono, ili kuanza kuwaamsha vijana wenzetu, tuweze kutimiza wajibu wetu wa kihistoria wa kufanya mabadiliko katika nchi yetu, hasa pale tunapokuwa tunahitajika sana na jamii. Tayari nimefanya mazungumzo na Mkubwa Fela, Babu Tale, Mwana FA, Nick wa Pili, Lamar, P-Funk, Mwasiti, Barnaba, Ditto ambao wamekubali kuwa sehemu ya harakati hizi. Bado nahitaji wasanii wengine wengi washiriki ki mawazao, hali na mali kufikia lengo kuu la Tanzania mpya na bora zaidi”. Huu ni mwanzo wa harakati hizi, mwakani tutafanya amsha amsha kubwa ya vijana. Mwaka huu tunasema Tuonane January (#Tuo8January). Tutengeneze nchi yetu!! Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania!
===========================================================
================================
COASTAL YASHUSHA KOCHA MPYA WA MAKIPA.
Katika kuimarisha Benchi la Ufundi Klabu ya Coastal Union ya Tanga,umeingia mkataba wa mwaka mmoja na aliyekuwa kocha wa makipa wa Yanga,Mfaume Athumani Samata ili kuweza kuwanoa makipa wa kikosi hicho.
Akizungumza leo ,Ofisa Habari wa Coastal Unioon amesema kuwa kocha huyo anachukua mikoba ya Razack Siwa aliyewahi kuwanoa makipa wa timu hiyo kabla ya kuondoka.
Assenga amesema kuwa kocha huyo aliwahi kuzifundisha timu za soka Yanga ,Ashanti United na Timu ya Taifa ya Vijana U-20 wana matumaini makubwa sana ataimarisha safu ya walinda milango kwenye kikosi hicho ili kuweza kukipa mafanikio.
Akizungumzia mipango yake mara baada ya kutua kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyokuwa yakiendelea jana kwenye viwanja wa Disuza jijini Tanga,Kocha Mfaume alisema kuwa malengo yake makubwa ni kuhakikisha kikosi cha timu hiyo kinashika nafasi za juu kwenye michuano ya Ligi kuu soka Tanzania bara.
Kocha huyo ndio aliyeiongoza timu ya Yanga kufungwa goli saba mpaka ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara ilipomalizika akiwanoa makipa kama vile Mustapha Barthezi na Yaw Berko.
=================================================================
MARTHA MLATA AMWAGA SOLA SEKONDARI YA MKALAMA
Na mwandishi wetu
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida, Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Martha, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.
Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji umbali mrefu hivyo kukosa masomo.
Akizungumza kwenye mahafali ya Sita ya Shule hiyo ambapo mgeni rasmi alikuwa Martha, Mkuu wa Shule Frank Malile, alisema tatizo la maji limekuwa sugu shuleni hapo.
Hata hivyo, alipongeza msaada huo wa Martha akisema utasaidia kupunguza kero hiyo na kwamba, ni mwanga wa kuelekea kwenye mafanikio ya kero hiyo kubaki historia.
“Shule yetu inakabiliwa na tatizo sugu la maji ambalo hukwmisha shughuli ikiwemo chakula kwa wanafunzi. Maji hufuatwa umbali mrefu na baadhi ya visima yanapopatikana ni vya wazi hivyo kuhatarisha usalama wa wanafunzi wetu,” alisema.
Changamoto nyingine iliyowasilishwa mbele ya Martha ni uhaba wa nyumba za walimu, mabweni ya wanafunzi kutokuwa na madirisha, vitanda, vyoo na ukosefu wa jengo la utawala.
Akizungumza kabla ya kukabidhi vyeti kwa wahitimu, Martha alisema nyumba za walimu pamoja na umaliziaji wa majengo ya bweni la wanafunzi wa kike, nguvu za kila mzazi na mlezi zinahitajika.
Pia aliahidi kuwasiliana na uongozi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), ambayo imejikita zaidi kuhakikisha mabweni kwa ajili ya wanafunzi wakiwemo wa kike yanajengwa katika shule mbalimbali nchini.
Martha alisema TEA imeonyesha nia ya dhati ya kuanza kujenga mabweni 30 kwa ajili ya wanafunzi wa kike, ambao ni wahanga wa vitendo viovu katika jamii.
“Serikali imeamua kulivalia njuga suala hili kukomboa mtoto wa kike kutokana na vikwazo anavyopata katika elimu vikiwemo mila potofu kuwatumia watoto wa kike kama chombo duni kisicho na msaada.
Katika mahafali hayo, mbali na kukabidhi sh. Milioni tatu taslim mbunge huyo, miti 50 ya miembe kwa ajili ya kuimarisha mazingira, vifaa vya michezo kwa shule za wanawake na wanaume.
Pia, alikabidhi sola 19 ambazo zitasambazwa kwenye sekondari za kata kwa ajili ya kuwezesha wanafunzi kusoma nyakati za usiku.
===================================================================
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida, Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Martha, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.
Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji umbali mrefu hivyo kukosa masomo.
Akizungumza kwenye mahafali ya Sita ya Shule hiyo ambapo mgeni rasmi alikuwa Martha, Mkuu wa Shule Frank Malile, alisema tatizo la maji limekuwa sugu shuleni hapo.
Hata hivyo, alipongeza msaada huo wa Martha akisema utasaidia kupunguza kero hiyo na kwamba, ni mwanga wa kuelekea kwenye mafanikio ya kero hiyo kubaki historia.
“Shule yetu inakabiliwa na tatizo sugu la maji ambalo hukwmisha shughuli ikiwemo chakula kwa wanafunzi. Maji hufuatwa umbali mrefu na baadhi ya visima yanapopatikana ni vya wazi hivyo kuhatarisha usalama wa wanafunzi wetu,” alisema.
Changamoto nyingine iliyowasilishwa mbele ya Martha ni uhaba wa nyumba za walimu, mabweni ya wanafunzi kutokuwa na madirisha, vitanda, vyoo na ukosefu wa jengo la utawala.
Akizungumza kabla ya kukabidhi vyeti kwa wahitimu, Martha alisema nyumba za walimu pamoja na umaliziaji wa majengo ya bweni la wanafunzi wa kike, nguvu za kila mzazi na mlezi zinahitajika.
Pia aliahidi kuwasiliana na uongozi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), ambayo imejikita zaidi kuhakikisha mabweni kwa ajili ya wanafunzi wakiwemo wa kike yanajengwa katika shule mbalimbali nchini.
Martha alisema TEA imeonyesha nia ya dhati ya kuanza kujenga mabweni 30 kwa ajili ya wanafunzi wa kike, ambao ni wahanga wa vitendo viovu katika jamii.
“Serikali imeamua kulivalia njuga suala hili kukomboa mtoto wa kike kutokana na vikwazo anavyopata katika elimu vikiwemo mila potofu kuwatumia watoto wa kike kama chombo duni kisicho na msaada.
Katika mahafali hayo, mbali na kukabidhi sh. Milioni tatu taslim mbunge huyo, miti 50 ya miembe kwa ajili ya kuimarisha mazingira, vifaa vya michezo kwa shule za wanawake na wanaume.
Pia, alikabidhi sola 19 ambazo zitasambazwa kwenye sekondari za kata kwa ajili ya kuwezesha wanafunzi kusoma nyakati za usiku.
===================================================================
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI
MTU MMOJA MKAZI WA CHAPWA – TUNDUMA ALIYETAMBULIKA KWA JINA LA JULIUS LABISON HAONGA (34) AMEFARIKI DUNIA BAADA YA GARI YENYE NAMBA ZA USAJILI T.317 CNS AINA YA MITSUBISHI FUSO LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA JOACHIM MKENYA KUACHA NJIA NA KISHA KUPINDUKA ENEO LA CHAPWA KATIKA BARABARA KUU YA MBEYA/TUNDUMA.
AJALI HIYO ILITOKEA MNAMO TAREHE 09.12.2014 MAJIRA YA SAA 09:00 ASUBUHI HUKO MAENEO YA CHAPWA – TUNDUMA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA KATIKA BARABARA KUU YA MBEYA/TUNDUMA. CHANZO CHA AJALI NI MWENDO KASI. DEREVA ALIKIMBIA MARA BAADA YA TUKIO NA JITIHADA ZA KUMTAFUTA ZINAENDELEA.
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA KAMISHINA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA POLISI AHMED Z. MSANGI ANATOA WITO KWA MADEREVA KUWA MAKINI WATAPOTUMIA VYOMBO VYA MOTO IKIWA NI PAMOJA NA KUFUATA/KUZINGATIA SHERIA NA ALAMA ZA USALAMA BARABARANI ILI KUEPUKA AJALI ZINAZOWEZA KUEPUKIKA. AIDHA ANATOA WITO KWA YEYOTE MWENYE TAARIFA ZA MAHALI ALIPO MTUHUMIWA AZITOE KATIKA MAMLAKA HUSIKA ILI AKAMATWE NA HATUA ZA KISHERIA ZICHUKULIWE DHIDI YAKE, VINGINEVYO AJISALIMISHE MWENYEWE. TAARIFA ZA MISAKO:
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU WATATU AMBAO NI 1. ATUPAKISYE KAJOLO (22) MKAZI WA KIJIJI CHA BUTULO-MBOYO 2. LWITIKO SIMON (25) MKAZI WA KIJIJI CHA IBILILO NA 3. ESSAU JOHN (32) MKAZI WA KYIMO WAKIWA NA BHANGI UZITO WA KILO MOJA [1KGM] IKIWA KWENYE MFUKO WA RAMBO.
WATUHUMIWA WALIKAMATWA MNAMO TAREHE 09.12.2014 MAJIRA YA SAA 14:30 MCHANA KATIKA MSAKO ULIOFANYIKA HUKO KATIKA ENEO LA KIWIRA, KATA YA KIWIRA, TARAFA YA UKUKWE, WILAYA YA RUNGWE, MKOA WA MBEYA. TARATIBU ZA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI ZINAENDELEA.
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA KAMISHINA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA POLISI AHMED Z. MSANGI ANATOA WITO KWA JAMII KUACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA KWANI NI KINYUME CHA SHERIA NA NI HATARI KWA AFYA YA MTUMIAJI.
Imesainiwa na: [AHMED Z. MSANGI – SACP] KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA.
=============================================================
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AMUWAKILISHA RAIS JAKAYA KIKWETE KWENYE MKUTANO WA MAZINGIRA LIMA PERU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza jambo na baadhi ya viongozi wenzake wakati walipohudhuria katika Mkutano wa 20 wa Kimataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, unaoendelea Jijini Lima nchini Peru, ambapo alizungumza kwa niaba ya nchi za Afrika kuhusu utekelezaji wa maazimio mbalimbali ya mabadiliko ya tabianchi. Pamoja na mambo mengine Dkt. Bilal alizungumzia namna nchi za Afrik zilivyojizatiti katika maazimio mbalimbali yanayolenga kunusuru majanga yatokanayo na Tabianchi. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Mjumbe maalum wa Marekani katika masuala ya Mabadiliko
ya Tabianchi, Todd Stern, baada ya kuhudhuria katika Mkutano wa 20 wa
Kimataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, unaoendelea Jijini Lima nchini
Peru, ambapo alizungumza kwa niaba ya nchi za Afrika kuhusu
utekelezaji wa maazimio mbalimbali ya mabadiliko ya tabianchi. Pamoja na
mambo mengine Dkt. Bilal alizungumzia namna nchi za Afrika
zilivyojizatiti katika
maazimio mbalimbali yanayolenga kunusuru majanga yatokanayo na Tabianchi. Picha na OMR
……………………………………………………………………………..
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal jana Desemba 09, 2014
amemuwakilisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ni Mwenyekiti Kamati ya
Wakuu wa Nchi na Serikali Barani Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabia
Nchi, kwenye mkutano wa Kimataifa wa Mazingira Duniani (Cop20)
unaofanyika jijini Lima, Peru.
Pamoja na shughuli nyingine
ambazo zimemuhusisha Mheshimiwa Makamu wa Rais Dkt. Bilal katika Mkutano
huo ikiwa pamoja na kuwa eneo la Mazingira nchini liko chini ya Ofisi
yake, Mheshimiwa Dkt, Bilal alipata fursa ya kutoa hotuba kwa niaba ya
Wakuu wa Nchi za Afrika siku ya Ufunguzi wa Mkutano huo, huku
akisisitiza katika hotuba hiyo umuhimu wa kila nchi kushiriki katika
kukabiliana na hali ya mabadiliko ya tabia nchi na tena akaelezea kuwa,
hakuna anayeweza kupona kwa kujificha ama kuachia kazi hii ifanywe na
nchi baadhi na akaongeza kuwa, wanaochangia kwa kasi kubwa kuathiri
mazingira wanatakiwa
kutambua kwamba wanayoyafanya
hayatawanufaisha milele hivyo nao washiriki kwa vitendo katika
kukabiliana na janga hili kubwa linaloikumba dunia kwa sasa.
Awali akihutubia wakati wa
ufunguzi wa mkutano huo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon
alieleza kuwa yapo mabadiliko ya tabia nchi ambayo kimsingi
yametengenezwa na binadamu wenyewe na kama binadamu wakiamua kukabiliana
nayo
wanaweza kabisa kuyatokomeza.
Pia alifafanua kuhusu nadharia ya nchi kushirikiana kwa kuwa mabadiliko
haya kwa sasa athari zake hazina mipaka na kwamba nchi zote lazima ziwe
katika sehemu ya utatuzi wa tatizo hili kubwa linaloikabili dunia.
“Tutumie mapendekezo ya Lima
kufungua njia mpya, tuwe na vipaumbele vinavyotekelezeka na kuonekana,
Tutoke hapa Lima na twende kuandika historia mpya kwa dunia yetu,”
alimalizia Ban Ki-moon.
Kwa upande wa Rais wa mkutano
huo (Cop20) Manuel Pulgar-Vida ambaye pia ni Waziri wa Mazuingira wa
Peru, alitumia nafasi hiyo kuwakaribisha washiriki wa mkutano huo nchini
Peru kwa niaba ya Rais wa nchi hiyo Mheshimiwa Olanta Humala na kisha
akafafanua kuwa nchi ya Peru imepitia masaibu kadhaa ya kimazingira na
hivyo kupata nafasi ya kuandaa mkutano huu kwao ni heshima na wajibu
katika dunia na kwamba anategemea maazimio ya Lima yasaidie dunia katika
kukab iliana na tatizo hili
linalokuwa la mabadiliko ya tabia nchi.
Kauli ya Mheshimiwa Manuel
Pulgar inasadifu ile aliyoitoa pia Christiana Fugueres, Katibu Mtendaji
wa Umoja wa Mataifa wa Mkakati wa kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia
Nchi ambaye aliuambia mkutano huo kuwa, wakati umefika kwa nchi zote
kukabiliana na matatizo ya mabadiliko ya tabia nchi kwa pamoja kwa kuwa
yanachangia kuongeza umaskini na ili jamii ipate ahueni, basi ni wajibu
kwa kila binadanmu kuchukua nafasi yake katika kukabiliana na hali hii
iliyopo.
Katika tukio jingine, Mheshimiwa
Makamu wa Rais alipata fursa ya kukutana na Ujumbe kutoka Marekani
uliongozwa na Mjumbe Maalum kutoka Serikali ya Marekani anayehusika na
masuala ya Mabadiliko ya Tabia nchi Todd Stern, ambaye alimueleza
Mheshimiwa Makamu wa Rais kuhusu utayari wa serikali ya Marekani katika
kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na kwamba nchi
yake itashirikiana nan chi zinazoendelea ikiwemo Tanzania katika suala
hilo. Vile vile Mheshimiwa Makamu wa Rais alipata nafasi ya kukutana na
ujumbe kutoka Jamhuri ya Watu wa China ulioongozwa na Mheshimiwa Xie
Zhenhua ambaye alizungumzia kuhusu ushirikiano baina ya nchi
zinazoendelea na zile zilizoendelea katika suala la mabadiliko ya tabia
nchi na akafafanua kuwa Tanzania na China zina uhusiano wa kindugu hivyo
kama kutakuwa na jambo la kipekee baina ya nchi hizi mbili basi
serikali ya China iko wazi kulipokea.
Mkutano huo pia umehudhuriwa na
Rais wa Bolivia Evo Morales, Rais wa Nauru Baron Waqa, Waziri Mkuu wa
Tuvalu Enele Sopoaga, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Sam Kutesa
na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon. Mkutano huu unafanyika
wakati dunia ikiwa imeanza kubadili fikra na misimamo kuhusu namna ya
kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi ambapo nchi ambazo awali
zilikuwa na misimamo mikali mfano Marekani na China sasa zimaeza
kubadili fikra kuhusu suala hili na kwa sasa zinaanza kulipa uzito
kutokana na athari yake pia kuzikabili nchi hizo.
Pamoja na Mheshimiwa Makamu wa
Rais msafara wa Tanzia pia unawashirikisha Mawaziri Bilinith Mahenge
(Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira) Waziri Fatma Fereji
(Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais SMZ), Naibu Waziri wa Mambo
ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mahadhi Juma Maalim pamoja na
wataalam wengine wa masuala ya Mazingira na Maliasili pamoja na wabunge
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
WAFINYANZI WAOMBA MSAADA WA VIFAA VYA KISASA
Na Mwandishi wetu, Iringa
KIKUNDI cha wafinyanzi wanawake cha Lungemba,kilichopo Wilaya ya Iringa, wameomba kusaidiwa vifaa vya kisasa vya ufinyanzi, ili waweze kutengeneza vitu bora vitakavyokubalika katika soko.
Maombi hayo wameyatoa katika risala yao kwa Mratibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mkurugenzi mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP, Alvaro Rodriguez.
Mratibu huyo alikuwa katika ziara ya kikazi ya kutembelea miradi inayosaidiwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa mkoani Iringa na Njombe.
Makundi yaliyotembelea ni yale ya ujasiriamali, yanayosimamiwa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) chini ya mpango wa Kupunguza Maambukizi ya UKIMWI kwa Njia ya Uwezeshaji wa Kiuchumi kwa Wafanyakazi walio katika Sekta Isiyo Rasmi kando kando mwa Barabara Kuu iendayo Tanzania-Zambia maarufu kama “Corridor Economic Empowerment Project (CEEP) “
Aidha makundi mengine yaliyotembelewa ni ya wakulima wanaosaidiwa pembejeo na wanaotengeneza vikapu na kufanya shughuli binafsi ikiwamo mabucha.
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiwa amembeba mtoto wa mwanachama wa Mtwango SACCOS ya wilaya ya Njombe.
Mmoja wa wanachama hao Anna Nyongole alisema wanafanya kazi hiyo katika mazingira magumu, kwani bado wanatumia mikono pekee, badala ya kutumia vifaa vya kisasa, na hivyo kusababisha bidhaa zao kukosa ushindani katika soko jambo linalowadumaza kiuchumi.
“Tunatengeneza vyungu, sufuria, majiko, mitungi ya maji na ya maua, na vitu mbalimbali, lakini changamoto yetu kubwa ni namna tunavyotengeneza, kwani hatuna mashine za kutengenezea vitu hivyo wala mitambo ya kuchomea, tunaiomba serikali na wadau wa maendeleo nchini watusaidie, kwani tukipata vifaa vya kisasa tutaweza kutengeneza vitu vingi kwa muda mchache kuliko ilivyo sasa,” alisema Nyongole.
Naye Zena Omary amesema kukosekana kwa usafiri wa gari kwenda kusomba udongo wa kufanyia ufinyanzi kunawafanya kutembea umbali wa kilomita 40 kwenda na kurudi, kutoka katika eneo la Ikekeke katika kijiji cha Kitelewasi.
“Tunakokwenda kuchimba udongo ni Ikekeke katika kijiji cha Kitelewasi, tunatembea kilomita 20 kwenda na kurudi kilomita 20, kwa hiyo unajikuta siku moja umeshindia kuchimba udongo na kusomba tu, na kwa kuwa tunajitwisha kichwani, huwezi kuchukua udongo mwingi,” alisema Zena.
Licha ya kukabiliwa na changamoto mbalimbali, akinamama hao wamesema kupitia mafunzo ya UKIMWI na Ujasiriamali waliyopata kutoka ILO wameweza kuboresha biashara hiyo ya ufinyanzi kwa kujenga banda la kuhifadhia bidhaa hizo, kuweka akiba na kukopeshana katika kikundi hatimaye wamefanikiwa kuyabadili maisha yao kwa kujenga nyumba bora na hata kuwasomesha watoto wao kwa kumudu gharama za ada.
“Hapa kila mmoja wetu anayo nyumba ya kisasa ya tofali za kuchomwa na iliyoezekwa kwa bati, na pia tumefanikiwa kusogeza huduma ya maji ya bomba katika nyumba zetu, ili kupunguza usumbufu wa kuchota maji visimani… kwa kweli biashara hii ya ufinyanzi imetusaidia lakini tukiboreshewa zaidi mazingira tutakua zaidi kiuchumi,” Walisema.
Hata hivyo Umoja wa Mataifa UN kupitia Shirika la Kazi Duniani “ILO” Kwa mkoa wa Iringa pekee- limefanikiwa kuwafikia akinamama na vijana wapatao 1,000 wa vikundi mbalimbali vya kiuchumi na vyama vya Kuweka na Kukopa (SACCOS), huku wanachama wa vikundi hivyo wakipatiwa mikopo, Elimu ya Maambukizi Virusi vya UKIMWI, pamoja na mafunzo ya Ujasiriamali.
Mratibu huyo alitembelea vikundi hivyo kuona namna msaada wa Umoja wa Mataifa ulivyobadili maisha ya wahusika ambao walikuwa katika mazingira magumu hapo awali.
Makundi mengine yaliyotembelewa yapo Nyololo na pia hospitali ya Mafinga ambako kuna mafunzo yanayoendeshwa kwa ajili ya ushauri nasaha kwa wanawake wenye kuishi na VVU.
Miradi hiyo ambayo mashirika ya UNICEF na IFAD yanashiriki, imelenga kusaidia makundi hata yale yenye wanachama wanaoishi na virusi vya ukimwi kujitambua na kuishi kwa kujitegemea.
=====================================
TIMU YA EALA WAICHAPA BURUNDI 4-2
Wachezaji wa Timu ya EALA waliovalia jezi rangi ya blue wakipambana na wenzao timu ya Burundi
Timu ya wabunge wa EALA
wameicharaza mabao manne kwa mbili timu ya Burundi jana katika Uwanja
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ikiwa ni muendelezo wa mashindano ya
wabunge Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Mchezaji mahiri wa timu ya
Eala John King aliipatia mabao 3 timu yake dakika ya 9 na 21 kipindi cha
kwanza hali iliyosabaisha mashabiki waliomiminika katika uwanja huo
kumshangila
Kipindi cha pili hali ilibadilika baada ya timu ya
Burundi kujipatia mabao mawili dakika ya nne na dakika ya 18, mpigaji
wa magoli hayo ni Simon Gahinja
Baada ya mchuano mkali wa timu zote mbili ,Eala waliongeza
bao la 4 lililofungwa na mchezaji Wilyclif Keto dakika ya 25 baada ya
kupata penalt dakika 33 ambapo mpigaji penalt alikosa baada ya mlinda
mlango wa Burundi Ibrahim Uwizey kudaka
Mbunge wa EALA kutoka nchini Tanzania Mh.Twaha Taslama jezi namba 12 akiwa uwanjani
Mh Mbunge wa Eala Bernad Mrunya akiwa anajiandaa kukabilia na timu ya Burundi katika Uwanja Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ikiwa ni muendelezo wa mashindano ya wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
(Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog Arusha)====================================================================
LA VEDA: IDRIS, FEZZA KESSY NA DIAMOND WAMETOA GUNDU KWA WASANII WA BONGO
La Veda akipozi na baadhi ya wadau waliofika kumpokea.
MWANADADA, aliyeiwakilisha Tanzania katika shindano la Big Brother Hotshots, Irene Neema Vedastous ‘LA VEDA’ amefunguka kuwa Diamond, Fezza na Idris wameondoa gundu kwa ushindi wao.
Akizungumza na GPL leo jioni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, wakati akiwasili kutoka Afrika ya Kusini alipokwenda kuungana na washiriki wengine wa BBA katika fainali, La Veda alisema,
“Binafsi nimefurahi sana kwa Idris kushinda Dola za Kimarekani 300,000, ni furaha kubwa sana kwangu na kwa Watanzania kwani naamini pia Diamond kuchukua tuzo tatu za Channel O na nyingine aliyopata juzi kutoka Nigeria, Fezza kuingia tena mjengoni wote watakuwa wameondoa gundu kwa wasanii wa Kitanzania’, alisema.
Aidha La veda amewaomba Watanzani kujitokeza kwa wingi kumpokea Idris siku atakapowasili maana ushindi wake unazidi kuiweka Tanzania katika ramani nzuri kimataifa.
Kujua zaidi Mahojiano aliyofanya La Veda baada ya kuwasili, usikose kutembelea www.globaltvtz.com
(PICHA / HABARI: Na Gabriel Ng’osha/GPL)
====================================================================
No comments:
Post a Comment