Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Idd na viongozi wa Chuo
cha CBE wakitoa mkono wa shukrani kwa wadau mbalimbali waliotoa michango
yao wakati wa harambee ya kuchangia maendeleo ya chuo cha CBE jana
usiku jijini Dar es salaam wakati wa kilele cha maadhimisho ya miaka 50
ya chuo hicho .
No comments:
Post a Comment