TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, September 26, 2014

KAMPUNI YA PLATINUM YATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA AJILI YA SHIMIWI.

SH1 Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya Platinum Credit Ltd Bw. Elias Samwel akizungumza wakati wa hafla fupi ya kukabidhi msaada wa vifaa vya michezo kwa baadhi ya Timu za Wizara na Taasisi za Serikali leoj jijini Dar es Salaam, vifaa hivyo vimetolewa ili kusaidia timu hizo zinazoshiriki mashindano ya SHIMIWI ambayo mwaka huu yanatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 27 Septemba hadi tarehe 11 Oktoba mkoani Morogoro.Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa SHIMIWI Moshi Makuka.SH2Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Sihaba Nkinga akimtunuku cheti Mwakilishi wa Platinum Credit Ltd Bw. Ferdinand Kambanyumba ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wao katika kuendeleza michezo wakati wa hafla ya kuwaaga wachezaji wa Wizara watakaoshiriki mashindano ya SHIMIWI 2014
SH3a
SH3Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Concilia Niyibitanga akipokea kwa niaba ya Katibu Mkuu, msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya Platinum Credit Ltd Bw. Ferdinand Kambanyuma wakati wa hafla ya kukabidhi msaada huo kwa baadhi ya timu za Wizara na Taasisi za Serikali zinazotarajia kushiriki mashindano ya SHIMIWI leo jijini Dar es Salaam.Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza rasmi kuanzia tarehe 27 mwezi huu na kumalizika tarehe 11 Oktoba mkoani Morogoro.SH4Kaimu Katibu Mkuu wa SHIMIWI Bw. Moshi Makuka (kulia) akipokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya Platinum Credit Ltd Bw. Elias Samwel wakati wa hafla ya kukabidhi msaada huo kwa baadhi ya timu za Wizara na Taasisi za Serikali zinazotarajia kushiriki mashindano ya SHIMIWI leo jijini Dar es Salaam.Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza rasmi kuanzia tarehe 27 mwezi huu na kumalizika tarehe 11 Oktoba mkoani Morogoro.SH5Mwenyekiti Timu ya Utumishi Bw. Lumuli Mtaki (kushoto) akipokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya Platinum Credit Ltd Bw. Elias Samwel wakati wa hafla ya kukabidhi msaada huo kwa baadhi ya timu za Wizara na Taasisi za Serikali zinazotarajia kushiriki mashindano ya SHIMIWI leo jijini Dar es Salaam.Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza rasmi kuanzia tarehe 27 mwezi huu na kumalizika tarehe 11 Oktoba mkoani Morogoro.

No comments:

Post a Comment