TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, September 21, 2014

WAREMBO TANZANIA WATOA MSAADA HOSPITALI YA KILEMA NA MARANGU MOSHI

Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 walitoa misaada ya kijamii katika Hospitali za Misheni Kilema na ile ya K.K.K.T Marangu baada ya kutembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro.
 Mwakilishi wa Kanda ya Ziwa katika Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 Dorine Robert akimpa zawadi ya chandarua mgonjwa Jamila Msafiri aliyelazwa katika Hospitali ya Kilema Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro jana ambapo warembo 30 wa Miss Tanzania walitoa msaaada mbalimbali ya kijamii hospitalini hapo.
 Warembo waiangalia watoto
 picha ya pamoja ya warembo na wenyeji Hospitali ya Kilema Moshi.
 Hapa ni Hospitali ya KKKT Marangu.
 Mpigapicha wa True Vision John Lymo akiwajibika kwa kuakama taswira za warembo.
Baada ya hapo warembo na viongozi walishirikki chakula cha mchana nyumbani kwa Naibu Kamanda wa UVCCM Moshi Vijijini, Innocent Shirima Melleck.

No comments:

Post a Comment