TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, September 21, 2014

KAMPUNI YA SAMSUNG TANZANIA YAZINDUA RASMI DUKA JIPYA NA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA JIJINI ARUSHA

samsung 1
Meneja Mkuu wa kampuni ya kielektroniki ya Samsung Tanzania na Mr Nawaz Ladha Mkurugenzi wa  Kampuni ya Freedom Elektronics moja ya kati ya wasmbazaji wa  Samsung Tanzania akikata utepe kuzindua rasmi duka jipya na kituo cha huduma kwa wateja jijini Arusha
IMG_2349
Meneja Mkuu wa Samsung Mr Mike Seo akiwahutubia wanahabari(hawapo kwenye poicha) katika uzinduzi rasmi wa duka la kielektroniki la Samsung na kituo cha huduma kwa wateja mjini Arusha.
SAM_9217
Meneja Mkuu wa Samsung Mr Mike Seo akiwahutubia wateja wa Samsung katika uzinduzi rasmi wa duka la kielektroniki la Samsung na kituo cha huduma kwa wateja mjini Arusha.
  IMG_2410
Meneja wa Usambazaji wa Samsung Sylvester Manyara akitoa maelezo kwa wateja na waandishi wa habari. 
IMG_2435
Meneja  wa huduma Samsung Mr Mubarak Mikidad akiwahutubia wanahabari katika uzinduzi rasmi wa duka la kielektroniki la Samsung na kituo cha huduma kwa wateja mjini Arusha.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)

No comments:

Post a Comment