TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, September 26, 2014

UJUMBE WA CHUO CHA WATAALAMU WA MAGONJWA CHA NCHI ZA MASHARIKI,KATI NA KUSINI MWA AFRIKA IKULU MJINI ZANZIBAR.

IMG_7103Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Prof. Ephata Kaaya (kulia) akiongoza Ujumbe wa Chuo cha Wataalamu wa Magonjwa cha Nchi za Mashariki,kati na Kusini mwa Afrika ulipofika Ikulu mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais leo. [Picha na  Ramadhan Othman,Ikulu.] IMG_7125Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Chuo cha Wataalamu wa Magonjwa cha Nchi za Mashariki,kati na Kusini mwa Afrika unaoongozwa na Prof. Ephata Kaaya, (wa pili kulia)katika ukumbi Ikulu Mjini Zanzibar leo, [Picha na  Ramadhan Othman,Ikulu.] IMG_7130Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akipokea Shahada ya Heshima kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha Wataalamu wa Magonjwa cha Nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika Prof. Ephata Kaaya,  aliyotunukiwa na chuo hicho kumtambua kuwa yeye ni mwanataaluma wa fani hiyo na pia  katika kukuza na kuimarisha fani hiyo katika Ukanda huu wa Afrika. [Picha na  Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment