TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, September 21, 2014

YANGA SC, STEND UNITED, POLISI MORO ZAHENYESHWA UFUNGUZI LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA 2014/2015 KWA KUDONDOKEA PUA.

KLABU za Yanga, Polisi Moro, Stend United na Kagrera Sugar zimeambulia vipigo tofauti katika michezo ya ufunguzi wa ligi kuu Tanzania msimu wa 2014/2015.

Yanga ilipoteza mchezo wake dhidi ya Mtibwa Sugar uwanja wa Jamhuri kwa kufungwa bao 2-0 huku Ndanda FC ikiisambaratisha Stend United uwanja wake wa nyumbani Shinyanga kwa kuhenyesha kwa kupata ushindi wa bao 4-1 wakati Polisi Moro SC nayo ilikiona cha mtema kuni mbele ya Azam FC kwa bao 3-1 jijini Dar es Salaam.

Mbeya City ilishindwa kuitumia vema uwanja wa Sokoine mbele ya JKT Ruvu kwa kumalizika mchezo kwa sare tasa ya 0-0 wakati Mgambo ilifanikiwa kuifumua Kagera Sugar kwa bao 1-0 mkoani Tanga na Prinson ikaizabua JKT Shooting kwa kuilaza bao 2-1 katika uwanaj wa Mabatini mkoani Pwani.

No comments:

Post a Comment