TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, September 26, 2014

SEMINA YA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KWA MAAFISA WA MAKAMPUNI MBALIMBALI KATIKA(KANDA YA KINONDONI)MKOA WA TANGA YAFANYIKA

???????????????????????????????
wafanyakazi wa mfuko wa pensheni wa PPF leo kabla ya kuanza semina ya mfuko huo kwa maafisa wa makampuni mbalimbali katika(Kanda ya Kinondoni)mkoa wa Tanga jana.
???????????????????????????????

??????????????????????????????? Katibu Tawala Mkoa wa Tanga,Salum Chima akizungumza jana wakati akifungua semina ya mfuko wa pensheni wa PPF kwa maafisa wa makampuni mbalimbali katika (Kanda ya Kinondoni) mkoa wa Tanga.uliofanyika ukumbi wa mikutano wa mkuu wa mkoa wa Tanga jana. Picha zote na Oscar Assenga,Tanga.??????????????????????????????? Ofisa wa mfuko wa pensheni wa PPF mkoa wa Tanga,Bw.Vanance  akielezea namna semina hiyo itakavyofanyika wakati wa ufunguzi wake, ???????????????????????????????Meneja wa PPF Kanda ya Kinondoni inayojumuisha wilaya ya Kinondoni, mkoa wa Pwani (Wilaya ya Kibaha na Bagamoyo) na mkoa wa Tanga,Zahra Kayugwa akizungumza katika semina hiyo jana na picha inayofuatia akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Tanga. ???????????????????????????????Meneja wa PPF Kanda ya Kinondoni inayojumuisha wilaya ya Kinondoni, mkoa wa Pwani (Wilaya ya Kibaha na Bagamoyo) na mkoa wa Tanga,Zahra Kayugwa akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Tanga.   ???????????????????????????????washiriki wa semina hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa mfuko wa Pensheni wa PPF jana baada ya kufunguliwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Salum Chima aliyekaa katikati mwenye koti jeusi kulia ni Meneja wa PPF kanda ya Kinondoni,Mkoa wa Pwani  inayojumuisha wilaya ya Kibaha na bagamoyo) na mkoa wa Tanga,Zahra kayugwa
??????????????????????????????? maafisa kutoka makampuni mbalimbali katika (kanda ya Kinondoni )mkoa wa Tanga wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa jana.

No comments:

Post a Comment