Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya
Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akisalimiana jana na baadhi
ya wanachama wa CCM mara baada ya kupokelewa katika Wilaya ya
Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli
mbalimbali za chama hicho.
No comments:
Post a Comment