TAN
Bayport
Kikoa
Myway entertainment
FORE PLAN CLINIC
MPINGA CUP 2016
Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Friday, November 7, 2014
Mwakilishi Mkazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mafunzo na Elimu atoa msaada
Mwakilishi Mkazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mafunzo na Elimu( I-TECH TZ), Dkt Fatma Kabore(kushoto) akimkabidhi tablet kwa ajili ya mafunzo ya masafa ya matabibu wasaidizi kwenda kwenye ngazi ya Tabibu Mkurugenzi wa Mafunzo kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Otilia Gowelle (kushoto) wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika leo jijini Dares Salaam kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo. Kituo hicho kimekabidhi tablet 71 zenye thamani ya Sh. milioni 24 kati hizo 60 zitatumia na wanafunzi wa fani hizo kwenye vyuo vya Mtwara, Kilosa na Mafinga na nyingine zitatumiwa na wakufunzi.
Mwakilishi Mkazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mafunzo na Elimu( I-TECH TZ), Dkt Fatma Kabore(kushoto) akimkabidhi boksi lenye tablet kwa ajili ya mafunzo ya masafa ya matabibu wasaidizi kwenda kwenye ngazi ya Tabibu Mkurugenzi wa Mafunzo kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Otilia Gowelle (kulia) wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika leo jijini Dares Salaam kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo. Kituo hicho kimekabidhi tablet 71 zenye thamani ya Sh. milioni 24 kati hizo 60 zitatumia na wanafunzi wa fani hizo kwenye vyuo vya Mtwara, Kilosa na Mafinga na nyingine zitatumiwa na wakufunzi.
Mkurugenzi wa Mafunzo kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Otilia Gowelle (kushoto) akizungumza jambo kuhusu msaada wa vifaa na vitabu vya miongozo kwa ajili ya mafunzo ya matabibu wasaidizi kwenda kwenye ngazi ya Tabibu viliovyokabidhiwa kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mafunzo na Elimu( I-TECH TZ), Dkt Fatma Kabore(kulia) wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika leo jijini Dares Salaam kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo.
Mwakilishi Mkazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mafunzo na Elimu( I-TECH TZ), Dkt Fatma Kabore(wa pili kutoka kulia) akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Mafunzo kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Otilia Gowelle(wa pili kutoka kushoto). Kulia ni Dkt. Beatus Leon ambaye ni Mkurugenzi Uimarishaji wa Mifumo ya Afya wa kituo hicho na kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mafunzo wa wizaya hiyo.
picha ya pamoja kati Mwakilishi Mkazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mafunzo na Elimu( I-TECH TZ), Dkt Fatma Kabore(wa pili kutoka kushoto) na Mkurugenzi wa Mafunzo kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Otilia Gowelle(wa nne kutoka kulia) wakiwa na watendaji wengine wa wizara hiyo na kutoka kituo hicho.
Mkurugenzi wa Mafunzo kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Otilia Gowelle( kushoto) akizungumza jambo na Mwakilishi Mkazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mafunzo na Elimu( I-TECH TZ), Dkt Fatma Kabore(katikati). Kulia ni Dkt. Beatus Leon ambaye ni Mkurugenzi Uimarishaji wa Mifumo ya Afya wa kituo hicho na kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mafunzo wa wizaya hiyo.
Mkurugenzi wa Mafunzo kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Otilia Gowelle (kushoto) akipokea vitabu vya miongozo kwa ajili ya mafunzo ya matabibu wasaidizi kwenda kwenye ngazi ya Tabibu kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mafunzo na Elimu( I-TECH TZ), Dkt Fatma Kabore wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika leo jijini Dares
Salaam
kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment