Kutoka
kushoto ni mwanamuziki Mzee Yusuf kiongozi wa bendi ya Taarab ya Jahazi
na Mbunge wa jimbo la Korogwe vijijini Profesa Maji Marefu wakifuatilia
mkutano huo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo katika mkutano huo.
Mwanamuziki
Mzee Yusuf kiongozi wa bendi ya Taarab ya Jahazi akiwasalimia wananchi
na mashabiki wake wakati wa mkutano huo wa hadhara.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na baadhi ya
viongozi katika meza kuu kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh.Muhingo
Rweyemamu
Mwanamuziki Mzee Yusuf kiongozi wa bendi ya Taarab na wanenguaji wake wakifanya vitu vyao jukwaani.
mwanamuziki Mzee Yusuf kiongozi wa bendi ya Taarab na wanenguaji wake wakifanya vitu vyao jukwaani.
Mh.
Januari Makamba Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia akimpongeza
mwanamuziki Mzee Yusuf mara baada ya kutumbuiza katika mkutano wa
hadhara wa Chama cha Mapinduzi uliofanyika kwenye viwanja vya Tangamano
mjini Tanga.
Nyoomi ya kutosha
Aliyekuwa
mgombea ubunge kupitia chama cha CHADEMA Tanga mjini Bw. Hassan Omary
Mbarak akitangaza rasmi kujiunga na CCM mara baada ya kupokea dozi ya
kutosha kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Abdulrahman Kinana
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Abdulrahman Kinana akimpongeza Bw.Bw. Hassan Omary Mbarak kwa uamuzi wake wa kujiunga na CCM.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu. Abdulrahman Kinana akiagana na wananchi mara baada
ya kuhutubia mkutano huo wa hadhara kwenye viwanja vya Tangamano mjini
Tanga.
Wengine walipanda juu ya magari kama wanavyoonekana
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga Ndugu Henry Shekifu akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM ili kuongea na wananchi katika mkutano huo.
Baadhi ya mawaziri na viongozi mbalimbali wakiwa katika mkutano huo
No comments:
Post a Comment