Kaimu
 Mkurugenzi Wilaya ya Momba Bw. Severine Chamkaga akifungua semina ya 
Vijana kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Ujasiriamali, Stadi za 
Maisha na Ujuzi jana katika Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya. Wa pili kulia
 ni Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo 
Bibi Ester Riwa, wa kwanza kulia ni Afisa Maendeleo ya Vijana kutoka 
Wizara hiyo Bi. Amina Sanga, na wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Kituo cha 
Vijana Sasanda Mbeya Bw. Laurean Masele. 
Mwezeshaji
 kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa 
akitoa mada wakati wa semina ya Vijana kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya 
Vijana, Ujasiriamali, Stadi za Maisha na Ujuzi jana katika Wilaya ya 
Momba Mkoa wa Mbeya.
Afisa
 Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na 
Michezo Bi. Amina Sanga akitoa mada wakati wa semina ya Vijana kuhusu 
Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Ujasiriamali, Stadi za Maisha na Ujuzi 
jana katika Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya.
Mkuu
 wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya Bw. Laurean Masele akitoa mada wakati
 wa semina ya Vijana kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Ujasiriamali, 
Stadi za Maisha na Ujuzi jana katika Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya.
Kijana
 Adam Zacharia Kinyakile wa pili kulia anayeinua vipaji vya vijana na 
kutengeneza ajira kwa vijana katika fani ya ufundi gereji Mji wa Tunduma
 Wilaya ya Momba akiwaonyesha maafisa waliomtembelea katika shughuli 
zake “Mobile Garage” aliyoitengeneza mwenyewe kwa kutumia vyuma
 chakavu inayoitumia kufanyia kazi za gereji mahali popote 
anapohitajika. Kushoto ni Mwenzeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, 
Utamduni na Michezo Bibi Ester Riwa pamoja na timu kutoka Wizara hiyo.
Afisa
 Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na 
Michezo Bi. Amina Sanga wa pili kushoto (waliokaa) akizungumza na Vijana
 wa kikundi cha Matunda Wilaya ya Momba walipowatembelea wakati wa ziara
 ya kukagua miradi ya Vijana Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya. Wa kwanza 
kushoto ni Mkuu wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya Bw. Laurean Masele na 
wa pili kushoto ni Mwenzeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, 
Utamaduni na Michezo Bi. Ester Riwa.
(Picha zote na Genofeva Matemu – Maelezo. Momba, Mbeya)
No comments:
Post a Comment