Spika
 wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho katikati akisindikizwa na 
Askari wake kutoka katika ukumbi wa Baraza Baada ya kuhairishwa kwa 
kikao hicho kilichoanza  leo Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
 
Waziri
 wa Miundo mbinu na mawasiliano Juma Duni Haji kushoto akiwa pamoja na 
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Nasor Ahmed Mazrui nje ya ukumbi wa
 Baraza la Wawaklilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar. 
Mwakilishi
 wa Jimbo la Wawi Saleh Nasor Juma akibadilishana mawazo na mwakilishi 
wa kuteuliwa nafasi za wanawake Wanu Hafidh Ameir nje ya ukumbi wa 
Baraza la Wawakilishi Mbwenu nje ya mji wa Zanzibar.
 
Mwakilishi
 wa Jimbo la Wawi Saleh Nasor Juma wakizungumza jambo na Mwakilishi wa 
Jimbo la Mji mkongwe Ismail Jussa Ladhu nje ya ukumbi wa Baraza la 
Wawakilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
 
Waziri
 wa Nchi Afisi ya Rais Ikulu na Utawabora DKT Mwinyihaji Makame kulia 
akibadilishana mawazo na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Saidi Hassan Saidi
 nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Waziri
 wa Miundo mbinu na mawasiliano Juma Duni Haji kushoto akiwa pamoja na 
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Nasor Ahmed Mazrui nje ya ukumbi wa
 Baraza la Wawaklilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar. 
Mwakilishi
 wa Jimbo la Wawi Saleh Nasor Juma akibadilishana mawazo na mwakilishi 
wa kuteuliwa nafasi za wanawake Wanu Hafidh Ameir nje ya ukumbi wa 
Baraza la Wawakilishi Mbwenu nje ya mji wa Zanzibar.
Mwakilishi
 wa Jimbo la Wawi Saleh Nasor Juma wakizungumza jambo na Mwakilishi wa 
Jimbo la Mji mkongwe Ismail Jussa Ladhu nje ya ukumbi wa Baraza la 
Wawakilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Waziri
 wa Nchi Afisi ya Rais Ikulu na Utawabora DKT Mwinyihaji Makame kulia 
akibadilishana mawazo na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Saidi Hassan Saidi
 nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:
Post a Comment