TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, January 19, 2015

WANAFUNZI NCHINI WAPINGA KUCHUKULIWA ARDHI YAO

 Wanafunzi wakitawanywa kwa Bomu lililorushwa na Polisi wakati wa Harakati hizo
 Tukio hilo n i baada ya wanafunzi kirejea baada ya Mgomo wa wiki mbili na walimu walimu wa shule za Umma
 wanafunzi wakigonga uzio huo uluikuwa umewekwa na mtu asiyejulikana
 Askari mmoja akiwa anaonekana kujeruhiwa wakati wa pulkushani hizo.
Baadhi ya Wanafunzi wakiwa wanamwelekezea askari  Fimbo wakimtaka kuondoka eneo hilo
========================================================================
Polisi nchini Kenya mapema leo imebidi kutumia Mabomu ya machozi kuwatuliza wanafunzi waliokuwa wakiandamana kupinga kuchukuliwa kwa eneo lao la michezo kutokana na mtu mmoja ambaye alionekana kulichukua na kuweka uzio kitendo kilichosababisha mtafaruku mkubwa baina ya wanafunzi hao na Polisi.

hata hivyo wanafunzi hao ambao inasadikiwa kwamba walikuwa na umri kati ya miaka sita walifanikiwa kuuvunja uzio uliokuwa umewekwa kutenganisha shule yao na eneo hilo la viwanja vya michezo.

wanafunzi hao walikuwa walikuwa wamerejea kutoka majumbani baada ya likizo ya wiki mbili kutokana na mgomo wa walimu wa Umma waliokuwa wameufanya kwa serikali, ambapo kati ya watoto 1000 inasemekana kuwa na umri wa miaka mitatu hadi kumi na nne na ikiwa inamilikiwa na baraza la jiji.

No comments:

Post a Comment