TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, January 18, 2015

Ridhiwani Kikwete ashiriki mazishi Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Mkoa Pwani, SALEHE MPWIMBWI



 KAKA wa Rais Jakaya Kikwete Selemani Kikwete akiweka mchanga katika
  Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la Salehe Mpwimbwi aliyezikwa   katika makaburi yaliyopo nje kidogo ya kijiji cha Miono, mazishi   yaliyofanyika juzi baada ya Mpwimbwi kupata ajali akiwa kwenye gari   yake binafsi akitokea kijiji cha jirani kumpeleka mgonjwa ambapo   njiani gari lake lilipasuka taili na kupinduka. (PICHA NA OMARY SAID).
MBUNGE Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete akiweka mchanga kwenye
  kaburi la Salehe Mpwimbwi aliyezikwa katika makaburi yaliyopo nje
  kidogo ya kijiji cha Miono, mazishi yaliyofanyika juzi baada ya
  Mpwimbwi kupata ajali akiwa kwenye gari yake binafsi akitokea kijiji   cha jirani kumpeleka mgonjwa ambapo njiani gari lake lilipasuka taili na kupinduka. (PICHA NA OMARY SAID).

No comments:

Post a Comment