MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALLY IDD AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA CBE LEO.
Mkuu
wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Emanuel Mjema (wa pili kutoka
kulia) akimtambulisha viongozi wa chuo cha CBE ,Makamu wa pili wa Rais
wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd (katikati) leo jijini Dar es salaam
wakati wa maadhimisho ya chuo hicho kutimiza miaka 50. Kulia ni Waziri
wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda.
No comments:
Post a Comment