TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, January 20, 2015

Wengi hawana muda wa tendo la ndoa Japan

Watu wazima hawana muda wa tendo la ndoa hali inayosababisha kupungua kwa idadi ya watu Japan
Asilimia 50 ya watu wazima nchini Japan hawashiriki katika tendo la ngono kulingana na utafiti, swala linalosababisha kupungua kwa idadi ya watu nchini humo.
Ripoti hiyo iliofanywa na shirika la upangaji uzazi nchini humo imebaini kwamba asilimia 49.3 ya watu 3000 waliohojiwa hawakushiriki ngono mwezi uliopita.
Kati ya asilimia 48.3 waliohojiwa walisema kuwa hawakushiriki katika ngono kwa mwezi moja huku asilimia 50.1 ya wanawake wakijizuia kushiriki ngono.Takwimu zote zilipanda kwa asilimia 5 kutoka kwa ufatiti uliofanywa awali mwaka 2012.
Walipoulizwa ni kwa nini hawashiriki katika tendo la ngono, asilimia 21.3 ya wanaume walio katika ndoa walidai kuchoka baada ya kutoka kazini huku asilimia 15.7 wakisema kuwa hawana haja ya kushiriki katika tendo la ngono baad ya wake zao kujifungua.
Kati ya wanawake asilimia 23.8 walisema kuwa tendo la ngono linasumbua na asilimia 17.8 wakidai walikuwa wamechoka.
Swala jengine la kushangaza ni kuongezeka kwa idadi ya vijana ambao hawana hamu na tendo la ngono.Zaidi ya asilimia 20 ya wanaume walio kati ya umri wa miaka 25 na 29 hakuwa na hamu ya kufanya ngono.

No comments:

Post a Comment