TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 31, 2014

APIGWA RISASI BAADA YA KUFANYA JARIBIO LA KUTOROKA MAHAKAMA YA KISUTU LEO

Muonekano wa mahabusu aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul Koroma raia wa Sierra Leone baada ya kupigwa risasi.
Koroma akiwa  kwenye machela tayari kwa kupelekwa kuifadhiwa hospitalini.

MAHABUSU aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul Koroma raia wa Sierra Leone ameuawa kwa kupigwa risasi na Askari Magereza wakati akijaribu kutoroka katika eneo la Mahakama ya Kisutu jijini Dar leo!

No comments:

Post a Comment