TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 31, 2014

WAFANYAKAZI WA PPF IDARA YA UENDESHAJI WAFANYA SHEREHE YA KUFUNGA MWAKA JIJINI DAR ES SALAAM JANA

Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Assumpta Maina Mallya akifungua sherehe iliyoandaliwa na idara yake kwaajili ya kupongezana kwa kazi za mwaka mzima, sherehe iliyofanyika katika hoteli ya Tiffany jijini Dar Es Salaam Jana.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka idara ya Uendeshaji wakimsikiliza Kwa Makini Mkurugenzi wa Idara hiyo wakati akifungua Sherehe ya Kupongezana kwa Wafanyakazi wa Idara hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Tiffany, Jijini Dar Es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Assumpta Maina Mallya akikata keki kwaajili ya Kuwarisha wafanyakazi wa Idara yake katika Sherehe ya kufunga mwaka iliyoandaliwa na Idara ya uendeshaji na kufanyika katika hoteli ya tiffany Jijini Dar Es Salaam.
Mbaruku Magawa Mratibu wa Ofisi za Kanda za PPF akimrisha Keki Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa PPF, Assumpta Maina Mallya wakati wa sherehe ya kumaliza Mwaka 2014 iliyofanyika Disemba 30, 2014 katika hoteli ya Tiffany.
Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Assumpta Maina Mallya akimlisha Keki mmoja wa Wafanyakazi wa Idara hiyo.
Muda wa Kufungua Shampeni ukawadia

No comments:

Post a Comment