  | 
| Bondia Jacobo Maganga kushoto akipambana na Shabani Kaoneka wakati wa mpambano wao uliomalizika kwa sare  | 
  | 
| Mabondia wa uzito wa juu Iddi 
Bonge kushoto na Mussa Mbabe wakipambana wakati wa mpambano wao Bonge 
alioshinda kwa K,O ya raundi ya kwanza na kumsambalatisha Mussa  | 
  | 
| Mabondia wa uzito wa juu Iddi 
Bonge kushoto na Mussa Mbabe wakipambana wakati wa mpambano wao Bonge 
alioshinda kwa K,O ya raundi ya kwanza na kumsambalatisha Mussa  | 
  | 
| Kocha wa kimataifa wa mchezo wa 
masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ katikati akiwa na mabondia 
Shomari nMirundi kushoto na Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ 
anayejiandaa kugombani amkata wa UBO Africa na bondia Cosmas Cheka Feb 
28 | 
Kocha
 wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ 
kushoto akiwa na mabondia Shomari Mirundi katikati na Ibrahimu Class 
‘King Class Mawe’ anayejiandaa kugombani amkata wa UBO Africa na bondia 
Cosmas Cheka Feb 28 
Bondia Ramadhani Kumbele kushoto
 akipambana na moro best wakati wa mbambano wao kumbele alishinda kwa 
pointi mpambani huo wa raundi sita 
  | 
| Bondia Jacobo Maganga kushoto 
akipambana na Shabani Kaoneka wakati wa mpambano wao uliomalizika kwa 
sare katika mpambano huo uliovuta isia za watu wengi Picha Zote na SUPER D BOXING NEWS | 
 
 
No comments:
Post a Comment