TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 31, 2014

Rais wa Kenya amteua mkuu mpya wa Polisi

Joseph Chirchir Boinet ameteuliwa kama inspekta jenerali mpya wa polisi nchini Kenya
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amemteua Joseph Chirchir Boinet kuwa inspekta jenerali mpya wa polisi.
Boinet anachukua mahala pake David Kimaiyo ambaye alistaafu kutokana na mauaji ya wafanyikazi 36 waliokuwa wakifanya kazi katika timbo moja huko Mandera kazkazini mashariki mwa Kenya.
Boinet amekuwa katika idara ya upelelezi tangu mwaka 1998.

No comments:

Post a Comment