





Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Juma Duni Haji akitoa nasaha fupi na kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kutoa hutuba yake wakati wa uzinduzi wa maegesho
na njia ya kupitia Ndege (APRON AND TAXIWAY) leo katika kiwanja cha
Ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume -Zanzibar huko Kiembesamaki
nje ya Mji wa Unguja katika shamra shamra za kutimiza miaka 51 ya
Mapinduzi matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake wakati wa sherehe za uzinduzi wa maegesho
na njia ya kupitia Ndege (APRON AND TAXIWAY) uzinduzi uliofanyika leo
katika kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume -Zanzibar
huko Kiembesamaki nje ya Mji wa Unguja ikiwa ni katika shamra shamra za
kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu]

No comments:
Post a Comment