TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, December 28, 2014

MAMA PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA UWT WILAYA YA MLELE

unnamed4Mkewa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza wakati alipofungua Mkutano wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilayaya Mlele Mkoani Katavi kwenye shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014. (Pichana Ofisiya Waziri Mkuu)
unnamed5
Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi vwakimsikiliza Mgeni rasmi Mama Tunu Pinda wakati alipofungua mkutano wao katika Shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014. (PichanaOfisiyaWaziriMkuu)
unnamedMkewa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja waWanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya Sekondari ya Mamba  kufungua Mkutano wa Baraza hilo Desemba 28, 2014. (PichanaOfisiyaWaziriMkuu)
unnamed1Mkewa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akijumuika na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wanawake la Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo, Desemba 28, 2014. (PichanaOfisiyaWaziriMkuu)

No comments:

Post a Comment