TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 31, 2014

Mtoto zeru zeru atekwanyara Tanzania

Mazeru zeru Tanzania
Polisi nchini Tanzania wanasema kuwa wamewakamata watu wanne kutokana na kutekwa nyara kwa msichana mmoja zeruzeru.
Msichana huyo wa miaka 4, Pendo Emmanuelle Nundi alitekwa siku ya jumamosi kutoka nyumbani kwao katika jimbo la kazkazini la Mwanza.
Msemaji wa Polisi Valentino Mlowola amesema kuwa babaake mtoto huyo ni miongoni mwa wanaochunguzwa ,ili kujaribu kujua iwapo bado yuko hai.
Utafiti wa Umoja wa Mataifa unasema kuwa takriban mazeruzeru 74 wameuawa nchini Tanzania ambapo vipande vya miili yao huuzwa kama vivutio vya bahati kwa takriban dola mia sita.

No comments:

Post a Comment