TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 31, 2014

GARI LA TAKA LASABABISHA TAFLANI MITAA YA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM.

 
 
Baadhi ya wazoa Taka wa Kampuni hiyo hapo wakijaribu kusukumu gari hilo kati kati ya jiji na kuleta mtafaruku kwa Wapiga Picha ambao walijaribu kuwapiga picha wakiwa kwenye zoezi la kusukuma gari hilo lililokuwa likileta msongamano wa magari kwenye barabara ya mtaa wa Samora, lakini hata hivyo katika tukio mmoja wa wazoa Taka hao baada ya kutoa Upepo wa Bipipiki ya Wanahabari hao, alijukuta akikokotwa mzobe kupelekwa kituo cha Polisi Central kwa kwa kosa la kuwazuia waandishi kufanya kazi zao, sakati hilo limeisha baada ya wazoa taka hao kumpigia mkuu wao ambaye alionekana mwenye busara na kuwaomba waandishi hao kumaliza Tatizo ikiwa ni pamoja na kuwapa onyo wazoa taka hao kuwa ni kosa la Jinai kuwazuia waandishi wawapo kazini.

No comments:

Post a Comment