TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, January 3, 2015

WAZALENDO WENYE UCHUNGU NA TAIFA WALILIA IKULU.

                           

Wakati wewe unakesha mitandaoni kuwaporomoti watiania wa urais wasiokuwa na sifa kwa sababu ya njaa zako.wenzako wenye umri kama wako wametembea kwa mguu kutoka Geita Mwanza hadi Dar es salam ikulu kwa ajili ya kuonana na rais juu ya matatizo yanayoikumba taifa na wananchi kiujumla.
Vijana hao wanachama wa chadema wameshaingia jiji la Dar es salam wakiwa wamevalia nguo za magunia kuashilia majonzi kwa taifa.vijana hawa wamebeba ujumbe wa

1.Ufisadi unavyoligharimu taifa
2.Ukiukaji wa haki za binadamu
3.Matumizi mabaya ya madaraka kwenye ofisi za umma
police wametanda sehem mbalimbali za ikulu na barabara zote zinazoingia ikulu,,hakika vijana hawa wamejitolea kufikisha ujumbe kwa rais ili kunusuru taifa.sasa nyie endeleeni kukesha kwenye mitandao mkibagua watu kwa makabila yao na dini zao,mkiwapiga majungu viongozi wa chadema wakati waliokufanya uwe maskini na mnoko wa kujipendekeza ni ccm na sio chadema wala Mbowe ama Dr.Slaa unaowaongelea kila kukicha.
Big up Vijana wenye uchungu na taifa letu,vijana mnaojitambua mliopo Dar mnapaswa kujitokeza kwa wingi kuwapa support makamanda hawa,,

No comments:

Post a Comment